Hao wachezaji wazawa walioitwa wana uwezo hata 20% ya Samatta wa sasa?

Hao wachezaji wazawa walioitwa wana uwezo hata 20% ya Samatta wa sasa?

Munch wa annabelletz47

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2019
Posts
1,885
Reaction score
3,227
Nataka tujenge hoja makini tuache mihemko na majungu, hv kwa nafasi anayocheza Samatta tuna mchezaji wenye uwezo kama samata hata 20% tu ya uwezo wake wa sasa?

Kama yupo mtaje na usilete ngonjera za kujenga timu maana hakuna jtihada yoyote inayofanyika ambayo mtu mwenyewe akili timamu anaweza kusema hapa baada ya miaka 10 tunaweza fika nusu fainali AFCON. Na kama ipo itaje hyo jtihada lakn uslete mambo ya siasa wala uchawa hapa.
 
Nataka tujenge hoja makini tuache mihemko na majungu, hv kwa nafasi anayocheza samata tuna mchezaji wenye uwezo kama samata hata 20% tu ya uwezo wake wa sasa? kama yupo mtaje na usilete ngonjera za kujenga timu maana hakuna jtihada yoyote inayofanyika ambayo mtu mwenyewe akili timamu anaweza kusema hapa baada ya miaka 10 tunaweza fika nusu fainali AFCON! na kama ipo itaje hyo jtihada lakn uslete mambo ya siasa wala uchawa hapa.
Iv kwanzia samata atumikie tm ya taifa n impact gan kaleta au kuifksha taifa hii kweny ndoto ya soka sasa tukubali tuuu life linaenda hata ukzra mamb lazm ya songe hatukatai juud na michango yake ila mpra inaamn kla sku mabadliko tupshe kzaza kgne yy mwendo kaumaliza tusionge meng awapishe kzaza kngne yy atabaki kama alama ya soka kweny nch yetu icon
 
Ingawa umri umewatupa mkono ila bado wanakitu wangeweza kufanya kwa taifa hata kwa kuwepo kwnye bench ingetufaaa, msuva na samata bdo luliwaitaj ili hawa vijana wazd kujfnza kwao.
 
Msuva,Samatta,Charles mmombwa,Moris Abraham bado walihitajika kwenye kikosi cha Timu ya Taifa,hatujawa matajiri wa wachezaji kama mataifa ya Afrika magharibi tuache siasa,unaweza kuta kocha kasikiliza maneno ya mashabiki kwenye vibanda umiza ndio maana kaacha baadhi ya wachezaji.
 
Msuva,Samatta,Charles mmombwa,Moris Abraham bado walihitajika kwenye kikosi cha Timu ya Taifa,hatujawa matajiri wa wachezaji kama mataifa ya Afrika magharibi tuache siasa,unaweza kuta kocha kasikiliza maneno ya mashabiki kwenye vibanda umiza ndio maana kaacha baadhi ya wachezaji.
Hatuna utajiri huo wa wachezaji na ndo hoja yangu hapa, upo sahihi lakn haya mambumbumbu yatastuka badae wakat tushachelewa sana
 
Hii ndio tatizo timu ya taifa kuendeshwa na makocha wa kuokotwa ambao hawana mafanikio hata kwenye vilabu vyao.
 
Back
Top Bottom