Ambassador
JF-Expert Member
- Jun 2, 2008
- 933
- 75
Mh... Inawezekana yupo kwa mwanaume kwa sababu alishaapa kwa hiyo ndoa, lakini hamfeel mumewe from the heart...
Inawezekana mumewe msumbufu na mkorofi awapo naye, hivyo akiwa mbali anajisikia nafuu kuepeka usumbufu wake...