Boeing787-8
JF-Expert Member
- Aug 16, 2018
- 1,155
- 1,209
I am not History teacherKuwa mkweli huyo mtoto wa shangazi ako ni wewe??
Hizi ajira watu wanatishia walimu hatari, mara ukikosea nucta, mara ukikosea herufi mara Nini, sijui system Gani ya kusoma barua 150kAtaitwa hiyo barua imewekwa kwenye maombi ya iiic history. Kwahiyo usiwe na hofu kuhusu Hilo. Ajipange kwa usahili tu
Kwakua wanajua ni mara Yao ya kwanza kutumia mfumo wa ajira portal.Hizi ajira watu wanatishia walimu hatari, mara ukikosea nucta, mara ukikosea herufi mara Nini, sijui system Gani ya kusoma barua 150k
Mtoto wa shangazi ebu edit hiyo barua kabla ya deadline yaani andika nyingine then bonyeza kitufe cha edit uatttach hiyo uliandika upyaHello Kuna mtoto wa Shangazi yangu amepata changamoto ya application za ualimu,
Ametuma maombi Kwa somo la history, vyeti aligonga muhuri Kwa mwanasheria, passport aliweka, na barua ya maombi alisaini.
Ila kwenye kichwa Cha barua haku-specify category yake ya Ualimu daraja la IIIC history. Ali specify kwenye maelezo ya barua .
Naomba kuuliza Kwa wabobezi wa Utumishi ,husipospecify category ya Ualimu kwenye kichwa ya barua unatemwa,yaani huitwi interview .
Nimeulizwa ila majibu Sina,Kwa mzoefu wa interview za Utumishi atusaidie.
Kiinglish jamani ni jangaI am not History teacher
Upo sahihi, inaonesha hafai kuwa mwalimuHuyo Mwalimu kuna topic atakuja kusahau kuifundisha