Unaturudisha nyuma mbona jana Usalama wa Taifa wamesema Dr Slaa atoe ushahidi wa kuwahusisha na kuchachua yuko wapi? Wamesema pengine anaokoteza Maafisa Usalama barabarani wanamdanganya wao hawafungamani na chama chochote.
Tunangoja Dr Slaa kujibu kama anao ushahidi