Elections 2010 Hapa city katikati kuna nini? Naona wachakachuaji (FFU) wanapita Ohio Str mbio!

hao ni vilaza tu,hadi siku watakapo jua haki zao ni zipi basi watabadilika na watafanya kazi kwa ajili ya wananchi lakini kwa sasa bado sana.:rip:
 

Kwani hukumsikiliza Dr. Jana? Alishasema wahende mahakamani ila kwa ufupi akatoa mfano wa Afisa mmoja huko Karatu, aliyekuwa anataka numba za vituo ziwekwe kwenye masanduku! Au ndio TV zenu wanawachagulia hadi nani wa kumsikiliza? TBC hawa kuweka hii jana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…