Kachelenga
Member
- Sep 11, 2012
- 26
- 6
Muda mrefu sasa natafuta MKE hapa lakini bila mafanikio,naomba mnisaidie ndg zangu kama kuna mahali pengine naweza kupata mke naomba mnielekeze huko labda nitabaatika kupata mke huko.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muda mrefu sasa natafuta MKE hapa lakini bila mafanikio,naomba mnisaidie ndg zangu kama kuna mahali pengine naweza kupata mke naomba mnielekeze huko labda nitabaatika kupata mke huko.
Nenda kwenye kanisa la mzee wa upako. ubungo kibangu.Muda mrefu sasa natafuta MKE hapa lakini bila mafanikio,naomba mnisaidie ndg zangu kama kuna mahali pengine naweza kupata mke naomba mnielekeze huko labda nitabaatika kupata mke huko.
Na wa kijijini nao ndo akina Zubeda wa Prof. Jay, baada ya muda anagonga mvinyo na walatinoNenda kijijini kwenu, wanawake wa mujini watakusumbua tu, hakuna wakuolewa huku mujini unless kama unataka kuchunwa!
Labda domo zegeUnaomba kutafutiwa mke?!Una tatizo
Muda mrefu sasa natafuta MKE hapa lakini bila mafanikio,naomba mnisaidie ndg zangu kama kuna mahali pengine naweza kupata mke naomba mnielekeze huko labda nitabaatika kupata mke huko.
Muda mrefu sasa natafuta MKE hapa lakini bila mafanikio,naomba mnisaidie ndg zangu kama kuna mahali pengine naweza kupata mke naomba mnielekeze huko labda nitabaatika kupata mke huko.
Yaani kwa kuwa wewe umekosa ndio hakuna mke