papag
JF-Expert Member
- Jul 31, 2009
- 1,156
- 1,667
Timu ya Taifa ya Kandanda ya Zambia iliyojulikana wakati huo kama KK 11, wakiwa katika picha ya pamoja kabla ya mechi yao na Italia ndani ya Uwanja wa Gwangju Mudeung huko Gwangju, Korea Kusini wakati wa Michezo ya Olimpiki ya Majira ya XXIV, Septemba 19, 1988.
Waliichapa Italia mabao 4-0 katika matokeo ambayo yalishangaza dunia.
Timu
( 1.) David Efford Chabala.
( 2.) Peter Mwanza
( 3.) Edmon Mumba
( 4.) Samuel Chomba
( 5.) James Chitalu
( 6.) Derby Makinka (mabao 2)
( 7.) Johnson Bwalya (bao 1)
( 8.) Charles Musonda
( 9.) Beston Chambeshi
(10.) Webster Chikabala
(11.) Bahati Msiska
(12.) Kalusha Bwalya (mabao 5)
(13.) Simon Mwansa
(14.) Manfred Chabinga
(15.) Ashols Melu
(16.) Richard Mwanza
(17.) Pearson Mwanza
(18.) Wisdom Mumba Chansa
(19.) Stone Nyirenda (bao 1)
(20.) Eston Mulenga
Kocha Mkuu: Samuel Ndhlovu
Picha : Bob Thomas Sports Photography /Getty Images
Waliichapa Italia mabao 4-0 katika matokeo ambayo yalishangaza dunia.
Timu
( 1.) David Efford Chabala.
( 2.) Peter Mwanza
( 3.) Edmon Mumba
( 4.) Samuel Chomba
( 5.) James Chitalu
( 6.) Derby Makinka (mabao 2)
( 7.) Johnson Bwalya (bao 1)
( 8.) Charles Musonda
( 9.) Beston Chambeshi
(10.) Webster Chikabala
(11.) Bahati Msiska
(12.) Kalusha Bwalya (mabao 5)
(13.) Simon Mwansa
(14.) Manfred Chabinga
(15.) Ashols Melu
(16.) Richard Mwanza
(17.) Pearson Mwanza
(18.) Wisdom Mumba Chansa
(19.) Stone Nyirenda (bao 1)
(20.) Eston Mulenga
Kocha Mkuu: Samuel Ndhlovu
Picha : Bob Thomas Sports Photography /Getty Images