johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Iringa siyo mkoa wa mchezo mchezo.
Najua kwamba Balozi Augustine Mahiga (RIP) ndio angechukua ubunge wa hapa lakini Mungu amempenda zaidi.
Sasa kuna azunguka zunguka kudai kimetumwa na mwenezi kugombea, niseme tu Iringa hatutarudia makosa kama CCM mmechemka kabisa; hata Salim hana nia ya ubunge basi kwa niaba ya Wanyalu, Richard Kasesela tutampeleka bungeni kwani ameufanyia mambo makubwa mkoa wetu na "kushughulika" na usanii wa mchungaji Msigwa kila kona.
Maendeleo hayana vyama!
Najua kwamba Balozi Augustine Mahiga (RIP) ndio angechukua ubunge wa hapa lakini Mungu amempenda zaidi.
Sasa kuna azunguka zunguka kudai kimetumwa na mwenezi kugombea, niseme tu Iringa hatutarudia makosa kama CCM mmechemka kabisa; hata Salim hana nia ya ubunge basi kwa niaba ya Wanyalu, Richard Kasesela tutampeleka bungeni kwani ameufanyia mambo makubwa mkoa wetu na "kushughulika" na usanii wa mchungaji Msigwa kila kona.
Maendeleo hayana vyama!