Kubwajinga
JF-Expert Member
- Jan 23, 2008
- 2,193
- 299
Picha kwa hisani ya Haki-hakingowi.blogspot.com
Hapa Kipanya kachemsha.
Huyo mgonjwa labda angeitwa UFISADI TZ na sio tu TANZANIA. Ukimkata kichwa TANZANIA haiwezi kuwa ndio tiba si atakufa?
Kuna taratibu za consent dadangu lakini nafeel uchungu wako,msumeno nyuma ya doctor umeuona? ha ha
Hapa Kipanya kachemsha.
Huyo mgonjwa labda angeitwa UFISADI TZ na sio tu TANZANIA. Ukimkata kichwa TANZANIA haiwezi kuwa ndio tiba si atakufa?
Hapa Kipanya kachemsha.
... Ukimkata kichwa TANZANIA haiwezi kuwa ndio tiba si atakufa?
Hapa Kipanya kachemsha.
Huyo mgonjwa labda angeitwa UFISADI TZ na sio tu TANZANIA. Ukimkata kichwa TANZANIA haiwezi kuwa ndio tiba si atakufa?
Kyoryere .... huyu ni mgonjwa wa taifa ... consent tumeshaitoa sisi watanzania ... hamna kwenda msalani wala nini ... just check kama msumeno umenolewa vizuri ... embu tizama vizuri .. unakata upande mmoja ama kote kote