1kush africa
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 9,552
- 13,090
Ohhhh kumbeee?Freedom fighters walicharuka kupambana na maingizo mapya [emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Eeeeeh hayaMie sijaacha naendelea maana sikuanza juzi, ni tangu enzi za crush....
Nimeimiss Nissan nyeupe ya namanga....
Kuna watu wamekuja na ID mpya baada ya kusaga menoImebaki vilio na kusaga meno.
Kwa hakika watapinga
Mie sijaacha naendelea maana sikuanza juzi, ni tangu enzi za crush....
Nimeimiss Nissan nyeupe ya namanga....
We tena sina swali dada angu mzurimzuriTumetulia kidogo tutazianzisha kama kawaida
Ndivyo inavyokuwa baada ya dhiki faraja.
Hahahah si wamesaga meno kama alivosema naniliu hapo juuYaan wewe na watu waliobadili I'd sijui wamekukosea nini [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sijui I'd mpya zimekuchunia