Hapa kosa langu nini????????

najua umesema wewe mkiristo ila naomba umjue Mungu zaidi ili akuondolee balaa hili, kama mimi ningewauliza hao wanawake kujja kuna nini
angalia kuwa hauna spiritual wife anayewafukuza hii inawapata sana watu kutokaa katika huusiano au kama umechawiwa

watu wengi wanajifaya wakisto na kukataa kuamini kuwa evil doers wamejaa around

huu ni ushauri wangu as inaweza kuwa ni spiritual problem

tafuta ufafanuzi zaidi

ubarikiwe
 

hapa nadhani ulikuwa unakazia suala la tubelight na sigara au barafu na kapipi. Ki2 compatibility na umuhimu wa kumechisha specifications zenu wawili
 
hapo kondoo wa bwana huna budi kuchovya chovya pakifaa ndo uoe kabisa vinginevyo utambebesha Mungu dhambi isiyo yake.
 

Duu haloo nashukuru kwa ushauri
 
Mkuu nisaidie ku upload hiyo attachment, imegoma kufunguka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…