mbongopopo
JF-Expert Member
- Jan 24, 2008
- 1,611
- 760
teh!Kiongozi mi nadhani unaokutana nao si wale wahitaji wa miguu mitatu kamili ndio shida inapoanzia hapo,hao ni wale wa miguu miwili na robo,so mkuu we fanya jitihada umpate yule mhitaji wa miguu mitatu kamili nadhani hapo huyo atakuwa mwenzio for life...so we chakachua kabla wajue habari ya miguu mitatu mapema kwani kosa lipo mitaa hiyo mkuu...
teh!Kiongozi mi nadhani unaokutana nao si wale wahitaji wa miguu mitatu kamili ndio shida inapoanzia hapo,hao ni wale wa miguu miwili na robo,so mkuu we fanya jitihada umpate yule mhitaji wa miguu mitatu kamili nadhani hapo huyo atakuwa mwenzio for life...so we chakachua kabla wajue habari ya miguu mitatu mapema kwani kosa lipo mitaa hiyo mkuu...
naona former US VICE PRESIDENT (DICK) Cheney amenenepa!:rain::wink2:
Mkuu nisaidie ku upload hiyo attachment, imegoma kufungukaView attachment 19736
Mimi ni Mtanzania ninaishi Lughombo Mwakaleli Mbeya, nimekuwa na bahati mbaya sana ya kukimbiwa na mke kila ninapokuwa nimeanza naye rasmi masuala ya unyumba, tena mbaya zaidi hata bila hata kuambiwa kosa langu. Mimi nimeshika dini hivyo sipendi kufanya mapenzi na mtu mpaka nitakapo kamilisha taratibu za kuoa, Naomba ushauri nakosea wapi? Kwasasa natafuta mke ambaye ataweka bayana mapungufu yangu ninapomkosea ili nipate nafasi ya kujirekebisha.