britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,295
- 33,994
Kwani we Messi unewahi kumuona??Ulimuona Pele akicheza na upo JF?
Au na wewe umemuona youtube!
Hahaaaaaaa noma sanaJf kila mtu ni mtu mjuaji,amefanikiwa,ana nyumba na magari,kaenda age wengi kila utakae muuliza ni kuanzia 35 kwenda juu umri,kila member ana elimu kubwa kuanzia degree au masters,Phd wengi wanajikuta ni ma master mind.[HASHTAG]#fake[/HASHTAG] life#fake life style.#
Watu wa miaka ya 60 bhana...Kwani we Messi unewahi kumuona??
Anayeangalia YouTube full match na anayeangalia kwenye TV wote ni wale wale hahaha aiseee
We Messi uliwahi kumuona Live?
HauchoHao wazee wetu walisitafu na soka lao ila bahati nzuri MUNGU kamleta nabii na mtume wa mwisho wa soka fundi Gaucho, bahati mbaya naye pia ametuachia soka la kwenye makaratasi, vipaji hakuna tena, watu wanataka matokeo na si burudani tena kama hiyo waliyokuwa nayo wazee wetu.