Hapa kuna ‘ Ukweli ‘ kiasi gani?

Hapa kuna ‘ Ukweli ‘ kiasi gani?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Most of the Enemies you have are people you once helped in life

Wengi wa Maadui zako ni wale Watu ambao ulishawahi Kuwasaidia Kimaisha

Ukiniuliza Mimi GENTAMYCINE nasemaje kwa hii ‘ Kitu ‘ niliyoiona mahala jibu langu ni jepesi tu kuwa ni kweli kwa 100%.

Je Mwenzangu unasemaje? Unakubaliana au unapingana nayo vipi?

Nawasilisha.
 
Naunga mkono 100%. Chunga sana mtu anayekujia kukuomba msaada haswa uliyewahi kusoma naye au aliwahi kukusaidia hata maji ya kunywa tu. Akija kwako haji kuomba msaada bali kuchukua haki yake kwani anaona kuwa ka si yale maji alokupa, leo usingelikuwa ulipo. Hebu ka umemkaribisha akae kwako usikilize mazungumzo na shemeji yake. Nakuhakikishia utamtimua saa 7 usiku
 
Most of the Enemies you have are people you once helped in life

Wengi wa Maadui zako ni wale Watu ambao ulishawahi Kuwasaidia Kimaisha

Ukiniuliza Mimi GENTAMYCINE nasemaje kwa hii ‘ Kitu ‘ niliyoiona mahala jibu langu ni jepesi tu kuwa ni kweli kwa 100%.

Je Mwenzangu unasemaje? Unakubaliana au unapingana nayo vipi?

Nawasilisha.
Kwaiyo ukiliona wewe liko sawa wote tulione ivyo pia?
 
Back
Top Bottom