Hapa kwenye katiba hv vikiwepo fulu maendeleo

Principal Focus

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2013
Posts
925
Reaction score
550
Katiba izuie uchama bungen wabunge wakichaguliwa wakishaingia bungen wacjitenge na kuanza kujidai mm wa chadema yy wa ccm yaan iwabane mpka waseme ndio vilevle ktk ziara za raic,mawazir n.K vyama vcwepo coz con faida rais anakuja ccm inamkuwa nyuma hapo kaenda kichama co kitaifa kwan hamuon nch nyngne znavyofanya uchaguz ukiisha na vyama vimekufa wabunge jadilin mambo yanayojenga co upuuz wa kugombana kisa vyama
via internal heart
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…