Hapa Kwenye Mtonyo Wa Mkopo Sijamwelewa MULUGO

Kimbakuli

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2013
Posts
408
Reaction score
435
Amesema wanafunz 1,117 wa masomo ya kipaumbele wenye fomu zenye dosar, na wale kipaumbele ambao fom zao hazna dosari je?
 
swala hilo hata mi laniumiza kichwa. Labda hiyo idadi waliyotoa ndio ya priority wote waliokosa mkopo.
 
no, no, no sidhan km figure ya priority waliokosa inaweza kuishia 1,117 kwenye 24,000 hapo labda wamechukua watu wao2
 
yaani kauli ya huyu jamaa kila akiongea zinakuwa na dosari sijui ni kwanini!
 
Kwa nilivyo muelewa Pinda alimwagiza bwana mkuu huyo ahakikishe wanafunzi waliokosa mikopo wote wapewe sijui nani mwenye ukweli na final say ktk hili coz inchi hii politics 99% uhalisia 0% tuone itakavyokuwa na sijui hata hayo hata kuwa lini coz Siku zimeyoyoma za usajili.
 
Amesema wanafunz 1,117 wa masomo ya kipaumbele wenye fomu zenye dosar, na wale kipaumbele ambao fom zao hazna dosari je?

Mimi sielewi kabisa, hoja hapa ni priority au dosari hongereni sana wenye fomu zenye dosari? poleni sana wenye fani ambazo ni priority lakini fomu zenu hazina dosari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…