Hapa Mahakama ya juu kabisa ipo?

Hapa Mahakama ya juu kabisa ipo?

Kaisari

JF-Expert Member
Joined
Nov 13, 2012
Posts
3,636
Reaction score
3,042
Jamani naomba wale wajuzi wanifahamishe kwa hapa kwetu tulipozaliwa kwa bahati mbaya,
Mahakama ya juu kabisa ipo ? Ni ipi hiyo? Inasikiliza hoja kwa uhuru na haki ??
Nifahamisheni jamani.
 
Jamani naomba wale wajuzi wanifahamishe kwa hapa kwetu tulipozaliwa kwa bahati mbaya,
Mahakama ya juu kabisa ipo ? Ni ipi hiyo? Inasikiliza hoja kwa uhuru na haki ??
Nifahamisheni jamani.
Umenichekesha sana mkuu wangu! Ila ni lazima tuwe na tume huru otherwise hamna kitachofanyika!!
 
Yaani Mamvi ndiye aliyepeleka mbinu za Ku hack servers, pathetic.
 
Supreme court kwa Tanzania ni Ikulu

Mahakama ya rufaa ni ccm

mchana toch ,usiku magogo tufanyaje?
 
Huku kwetu uchaguzi hufutwa na tume ya uchaguzi pale ving'ang'anizi wa madaraka wasipokubaliana na matokeo

Lexus Mayai
 
Mahakama kuu ya Tanzania ipo pamoja na mahakama kuu ya Africa mashariki ipo Arusha. Mambo ya haki ingia ujionee mwenyewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamani naomba wale wajuzi wanifahamishe kwa hapa kwetu tulipozaliwa kwa bahati mbaya,
Mahakama ya juu kabisa ipo ? Ni ipi hiyo? Inasikiliza hoja kwa uhuru na haki ??
Nifahamisheni jamani.
Hapa ishu sio mahakama ya juu, ishu ni katiba!
Hairuhusu matokeo kupingwa mahakamani na yakishatangazwa ndo basi tena!
Hapa kwetu inahitajika overhaul changes ya NEC na katiba kwa ujumla! Hapa ndo pa kuanzia!
 
Hapa ishu sio mahakama ya juu, ishu ni katiba!
Hairuhusu matokeo kupingwa mahakamani na yakishatangazwa ndo basi tena!
Hapa kwetu inahitajika overhaul changes ya NEC na katiba kwa ujumla! Hapa ndo pa kuanzia!
Watoa maamuzi sasa ili ifanyike hivyo, ndiyo hao wanaotaka kuua upinzani, kila siku wanafurahia kusikia fulani kakamatwa
 
Back
Top Bottom