Hapa naona developers wa WhatsApp wamechemka

Hapa naona developers wa WhatsApp wamechemka

HOPEfull

JF-Expert Member
Joined
Apr 8, 2021
Posts
1,882
Reaction score
2,313
Habari

Kama sio settings za simu yangu basi ndio hivyo tena jamaa warudi tu shule.

Ninapofungua app ya WhatsApp kisha naenda chini pale nabofya nipate majina mbalimbali ya wapendwa zangu majina yanafunguka vizuri lakini ninapompa “Hi” mpendwa mmoja nikirudi kwenye majina screen inanileta kwenye recent chat.

Hebu wadau dadavueni kidogo hapo. Mimi ninachotaka nirudi kwenye majina na sio kwenye chatting.
 
Hawajakosea hata kidogo.ukisha mtext huyu mtu lazima ikupeleke kwenye recent chat sababu hiyo ndio latest chat una expect akujibu.huwezi ukachat na mtu akapeleka kwenye kuchagua chat Tena,hiyo features unayoitaka ni bad functionality.
 
Nataka niwape 'hii' tu nitoke..
Hawajakosea hata kidogo.ukisha mtext huyu mtu lazima ikupeleke kwenye recent chat sababu hiyo ndio latest chat una expect akujibu.huwezi ukachat na mtu akapeleka kwenye kuchagua chat Tena,hiyo features unayoitaka ni bad functionality.
 
Hawajakosea hata kidogo.ukisha mtext huyu mtu lazima ikupeleke kwenye recent chat sababu hiyo ndio latest chat una expect akujibu.huwezi ukachat na mtu akapeleka kwenye kuchagua chat Tena,hiyo features unayoitaka ni bad functionality.
Umemaliza mkuu.sauti imetosha
 
Bora ata iyo ,ila kuna sehema sijui wasup au hawa watengenezaji wa sim sana sana ktk app nazungumzia androd,,, sijajua nia yao na lengo lao nn kuna app inaitwa phonex kwanza ina shida sana maana ujumbe kila muda ila shida nyingine inaonyesha chochote ulichotuma mwanzo ilikua inabak wasup sent ila sasa iv naona sim nyng inakua inaonyesha ,shida inakuja kwa mtu asiefaham ,ni hatar kwa usalama.
 
Back
Top Bottom