ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Nape ameyasema hayo wakati akitoa salamu za familia katika hafla ya kitaifa ya kuaga mwili wa aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje, Bernard Membe.
“Uandishi wa kitabu hiki yawezekana kulikuwa na mahala utakwazika hapa na pale, inawezekana wakati wa kukisoma kitabu si wote wakakifurahia hivyo kwa niaba ya familia niwaombe mumsamehe ili apate kupumzika kwa Amani,”amesema.