Watu wengi wenye mafanikio duniani, hutumia mda mchache sana kulala, na kutumia mda mwingi zaidi kwenye mambo ya maendeleo. wakati wengine wakitamani kuwa kama lady jaydee na kufikiri kuwa anakula bata kwa kwenda mbele, apa ndipo anapolaza ubavu wake pindi jua linapozama. Kumbe ndo maana Dada yetu hanenepi na siku zote mafanikio hayaji kiurahis lazima ujinyime. nadhan hufanya ivi ili kupata mda wa kuweza kutafakari mambo yake kwa umakini zaidi. Big up jide.
100 percent..
Kwenye kipindi chake mbona niliona ana bonge la kitanda!!!!!labda siku nyingine anapendelea mechi za mchangani
Mimi mpenzi sana wa kulala kwenye sofa kuliko kitandani!
kaka mkubwa uvivu unachangia..na mambo yetu yale unayopiga pub ya pale karibia na home
Watu wengi wenye mafanikio duniani, hutumia mda mchache sana kulala, na kutumia mda mwingi zaidi kwenye mambo ya maendeleo. Wakati wengine wakitamani kuwa kama Lady Jaydee na kufikiri kuwa anakula bata kwa kwenda mbele, apa ndipo anapolaza ubavu wake pindi jua linapozama. Kumbe ndo maana Dada yetu hanenepi na siku zote mafanikio hayaji kiurahisi lazima ujinyime. Nadhani hufanya ivi ili kupata mda wa kuweza kutafakari mambo yake kwa umakini zaidi.
Big up Jide.
Usikute fikra zako zinakutuma kuwa akinenepa anakuwa na umbo la Masogange.
Kwenye kipindi chake mbona niliona ana bonge la kitanda!!!!!labda siku nyingine anapendelea mechi za mchangani