Hapa ndipo anapolala Lady Jaydee...

hahahaaa!! warumi sijui kama ameona hapa?

jide anatafuta namna ya ku-wakamata watu wajue yupo..

impossible to live..

Nimeona mkuu..unataka kusema anatafuta kick?
 
Last edited by a moderator:
hio ndo point... being a celebrity is another issue..

and beibg in a top level is another level..

A ah ah aaah, mi nadhan uhodari wake wa kuimba nyimbo Kali na zenye swaga za kipekee ndo zinazomfanya awe juu..sidhan kama jide ana heavy scandal kihivyo kusema anazitegemea zimeweke juu
 
A ah ah aaah, mi nadhan uhodari wake wa kuimba nyimbo Kali na zenye swaga za kipekee ndo zinazomfanya awe juu..sidhan kama jide ana heavy scandal kihivyo kusema anazitegemea zimeweke juu

kuwa na scandal ndugu yangu nayo ni driving force..

hebu jaribu kuingia katika taifa la marekani, angalia wasanii wa kule wanavyoishi,

wakiwa katika process za kuuza albums zao, lazima watafute scandal ili watu washituke na kufaham mtu fulani..

mwangalie dogo justin bieber, kila wakati anasemwa mara hili, mara lile.. market yake lazima iwe juu..

scandal kwa maisha ya msanii, ni sehemu ya kujiweka sokoni, karibu na mteja wake!

tension building techniques.
 
hapo amependa tu kulala, bado hujanishawishi kama analala hapo. labda hulala kwa floor siku moja moja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…