Hapa ndipo lilipofikia balaza la sanaa Tanzania (Basata)

eastmea

Senior Member
Joined
Jul 28, 2018
Posts
159
Reaction score
133
Wakuu naombeni mawazo yenu juu ya hili balaza maana tunapoelekea
Diamond ataombwa kibali cha kupiga picha na watoto wake[emoji33]
 
Kuna watu wana hamu ya ugomvi halafu kusema hawawezi
 
Hawa wasanii walikuwa wanajipendekeza mno na ccm.

Yaan kuna mijananchi sijui inajisahaulisha! Kwa wasanii wa bongo acha wawakamue mpaka ma.vi yatoke maana akili zao zipo sehem ya siri tu. Wao ikifka time ya kampen wakishalamba hela zao wanaanza shobo dundo mtaan mara ccm mbele kwa mbele manina zao, acha akili iwakae. BASATA ongezen maujuz mpaka wanyooke watoto wa kima hawa. Waongeze sheria tu na mkitaka wadau tupo tutawasaidia namna ya kutunga sheria kandamizi kwao.
 
Huenda ni mchezo tu wa kuigiza unaendelea.

Mondi sio wa kuzongwa na basata kihiiivyo.

Kuna Walengwa wa hizo sarakasi, Mondi ni ngazi tu.
 
Huenda ni mchezo tu wa kuigiza unaendelea.

Mondi sio wa kuzongwa na basata kihiiivyo.

Kuna Walengwa wa hizo sarakasi, Mondi ni ngazi tu.
Hao walengwa ni akina nan
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…