Madimba jr
JF-Expert Member
- Aug 12, 2017
- 1,577
- 3,146
😀😀😀😀 Nilishawahi kuruka mtaro wa barabara pale external ubungo wakati niko vyombo,nilifanya kisanga kimoja nikatolewa nduki daah sikuamini hata niliwezaje kuruka....Fu.ck Pombe🙁🙁🙁Utamu wake anaujua mwenyewe hapo angekuwa hajalewa angeumia vibaya sana sema shetani akizima akili yako anabaki kukulindia mwili usiumie.
And one for the road....Huyu ni alcoholic, kwanza pombe si mbaya kama watu wengi wanaitafsiri
1. Kunywa pombe na chakula tu hii ina kusaidia ku control limit.
2. Kunywa unit 1-2 baada ya kazi kama relaxation.
[emoji23] kumbe ni chapombe mzoefu tupo nawe humu, aisee uliona kama unaruka mto Nile.😀😀😀😀 Nilishawahi kuruka mtaro wa barabara pale external ubungo wakati niko vyombo,nilifanya kisanga kimoja nikatolewa nduki daah sikuamini hata niliwezaje kuruka....Fu.ck Pombe🙁🙁🙁
Mi sio chapombe ni mnywaji ila najielewa....bia 4 per day sio shida...kwa afya.[emoji23] kumbe ni chapombe mzoefu tupo nawe humu, aisee uliona kama unaruka mto Nile.
Sio kweli kabia 100%.Huyu ni alcoholic, kwanza pombe si mbaya kama watu wengi wanaitafsiri
1. Kunywa pombe na chakula tu hii ina kusaidia ku control limit.
2. Kunywa unit 1-2 baada ya kazi kama relaxation.
Kumbe shetani sio mbaya Mara zote somehow anahurumaUtamu wake anaujua mwenyewe hapo angekuwa hajalewa angeumia vibaya sana sema shetani akizima akili yako anabaki kukulindia mwili usiumie.
Sasa mkuu pale Ubungo ulikuwa kama unatoa show ya bure kwa watu wa mikoani walikuwa wanaingia mjini na mabasi yao ya viazi.Mi sio chapombe ni mnywaji ila najielewa....bia 4 per day sio shida...kwa afya.
Unit 1-2 ni chupa ngp Mkuu?Huyu ni alcoholic, kwanza pombe si mbaya kama watu wengi wanaitafsiri
1. Kunywa pombe na chakula tu hii ina kusaidia ku control limit.
2. Kunywa unit 1-2 baada ya kazi kama relaxation.
Kama sio huruma angekuwa anakumaliza akili na anakudhuru mwili, ana huruma muda mwingine shetani si alikuwa malaika.Kumbe shetani sio mbaya Mara zote somehow anahuruma
iSasa mkuu pale Ubungo ulikuwa kama unatoa show ya bure kwa watu wa mikoani walikuwa wanaingia mjini na mabasi yao ya viazi.
ilikua usiku wewe...Sasa mkuu pale Ubungo ulikuwa kama unatoa show ya bure kwa watu wa mikoani walikuwa wanaingia mjini na mabasi yao ya viazi.