Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,372
- 54,943
[emoji23] [emoji23] Haaha aisee Ila kuna matukio yakifanyika mchana yana ladha kuliko usiku.i
ilikua usiku wewe...
We nae,tubia tu4 tu?Mi sio chapombe ni mnywaji ila najielewa....bia 4 per day sio shida...kwa afya.
Hahaaha eti tubia tu4 tuππππ bia 4 zenye mchanganyiko wa Vodkta....π±π±We nae,tubia tu4 tu?
Sita zitapendezaMi sio chapombe ni mnywaji ila najielewa....bia 4 per day sio shida...kwa afya.