KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 32,529
- 76,691
Utimilifu wa kifo umebebwa hasa kwenye;
MUUNDO WA MWILI.
Mwili wa kiumbe hai unatimiza kifo kwa kuwa unaweza kuugua, kudhurika na sumu, kuungua, ulaini uliopo kwenye mwili,kwenye hili naomba nieleweke hivi,mwili(hasa wa binadamu) ni laini hivyo ni virahisi kudhurika.
Kuruhusu kushambuliwa na bacteria au virus, yapo mengi lakini naomba niishie hayo tu.
Kwa binadamu jambo hili la utimilifu wa kifo linaweza kuonekana kama udhaifu,lkn kwenye mazingira ni utimilifu wa balance of nature!.
Ili kuweze kuwa na kifo ndo maana muundo wa mwili unakuwa na hayo ambayo yanaleta utimilifu wa kifo.
Kupambana na magonjwa,ajali n.k ndio inaonekana njia ya kuzuia kifo lkn binafsi sidhani cha kudili nacho ni muundo huo kuubadili!
Kama binadamu atataka kudhibiti kifo lazima adili na hayo mambo,
Pia atafute sehemu nyengine ya kuishi kwa maana watu watakuwa wengi coz hawafi au afunge jumla uwezo wa kuzaa!
Kutokana na hayo swali la kujiuliza je, mwanadamu itamchukua muda gani kuzuia kifo?
Na kwanini kifo kizuiliwe?
MUUNDO WA MWILI.
Mwili wa kiumbe hai unatimiza kifo kwa kuwa unaweza kuugua, kudhurika na sumu, kuungua, ulaini uliopo kwenye mwili,kwenye hili naomba nieleweke hivi,mwili(hasa wa binadamu) ni laini hivyo ni virahisi kudhurika.
Kuruhusu kushambuliwa na bacteria au virus, yapo mengi lakini naomba niishie hayo tu.
Kwa binadamu jambo hili la utimilifu wa kifo linaweza kuonekana kama udhaifu,lkn kwenye mazingira ni utimilifu wa balance of nature!.
Ili kuweze kuwa na kifo ndo maana muundo wa mwili unakuwa na hayo ambayo yanaleta utimilifu wa kifo.
Kupambana na magonjwa,ajali n.k ndio inaonekana njia ya kuzuia kifo lkn binafsi sidhani cha kudili nacho ni muundo huo kuubadili!
Kama binadamu atataka kudhibiti kifo lazima adili na hayo mambo,
Pia atafute sehemu nyengine ya kuishi kwa maana watu watakuwa wengi coz hawafi au afunge jumla uwezo wa kuzaa!
Kutokana na hayo swali la kujiuliza je, mwanadamu itamchukua muda gani kuzuia kifo?
Na kwanini kifo kizuiliwe?