Hapa ndipo wakaka wanapotamani kujiua

Dunia imebadilika siku hizi kina dada ndio wanahonga.
 

I see umenikumbusha mbali sana.

Nilialikwa kwenye gradu moja chuo flani huko Moro nikamkuta kaka mmoja anamwaga uchozi kisa dada aliye kuwa ana mgharamia amemtosa siku hiyo ya kuhitimu masomo yake. Jamaa alikuja kajiandaa maua tena marose bado mabichi mazawadi yamejaa box akaambulia kibuti mbele ya watu.
 
good point
 
Kaka Pole, sijui kuna nini ndani ya hii? Wengine huwasomesha wadada kuliko walivyosoma wao, Na kuishia Maumivuni.

tunakosa wanawake wenye hofu ya Mungu..anyway baadae wasaliti nao ukutana na machungu huko waendako..to every reaction there is ....
 
Tuliosomeshwa sijui tuchangie nini humu, ngoja nitarudi. ila nachojua kutoa msaada huwa hutakiwi kutegemea malipo ya kitu fulani, iwe ndoa urafiki au chochote
 
Tuliosomeshwa sijui tuchangie nini humu, ngoja nitarudi. ila nachojua kutoa msaada huwa hutakiwi kutegemea malipo ya kitu fulani, iwe ndoa urafiki au chochote
unajua gaga mwanzoni mnakuwa wapenzi (mke mtarajiwa)ndio anaamua kukulipia ada sasa tatizo linakuja pale unapobadili mawazo baada ya kugradueti.
Vipi aliyekusomesha mlikuwa wapenzi na status ya penzi lenu kwa sasa ikoje au na wewe unalaana ya wakaka?
 
Kama mkaka anakusomesha wewe, wakati si ndugu yake, na hana mtu mwingine anayemtegemea kumuoa isipokuwa wewe...ni makosa makubwa na uuaji kummwaga wakati unapograduate!
Unless kuwe na sababu iliyosababishwa na huyu mkaka mwenyewe, lakini siyo mdada aanze kusema "nimemwona anayenipenda zaidi"... aisee hapo nitamfanya kitumbaya hatasahau maishani!
 
kama sio wako huwezi kulazimisha mapenzi kamwe na dada zetu muwe na utu jamani...inauma sana coz huyo mwanaume unakuta anamalengo kumbe duh..Kabug
 

Salute! Marytina: Msimamowangu ni huo sisomeshi kozi ndefu labda mkewangu wa ndoa naye awe amesha nizalia japo watoto wawili
 
najitolea kukusomea Pm zote. Mwanafunzi hutakiwi kuchoka kabla hujaanza shule. Sawa eeh.

Mmmmmh, Husninyo wewe,
Nasikia harufu ya kuibiwa msomeshaji hapa.
Halafu, mbona hawatokei?
Au mpaka kesho mchana nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…