Hapa ndipo wanaponimaliza kabisa hawa watu !

Mimi wa kwangu huwa hasubiri kuanzwa bali hunianza mara tu anapokuwa anajisikia na huniambia kwa uwazi kuwa nataka mambo fulani.
ni kweli mkuu, wengine tuko tofauti, hatuna aibu but not always au tunatumia mitego, eg najifanya kutandika kitanda nimeinama na niko na suti ya kuzaliwa, mwenzio kama ni muelewa anapata jibu hapo:A S 8::A S 8::A S 8:
 
ni kweli mkuu, wengine tuko tofauti, hatuna aibu but not always au tunatumia mitego, eg najifanya kutandika kitanda nimeinama na niko na suti ya kuzaliwa, mwenzio kama ni muelewa anapata jibu hapo:A S 8::A S 8::A S 8:
Yap, nimeinyaka hii style!
 
Mi mbona nyumba ndogo yangu inanisumbua sana tokea jana, eti "hny nina genye!"
mmmh ukiona hivyo ujue mkuu unataka kupigwa mzinga hapo maana nyumba ndogo mtaji wao ni unyumba
 
ni kweli mkuu, wengine tuko tofauti, hatuna aibu but not always au tunatumia mitego, eg najifanya kutandika kitanda nimeinama na niko na suti ya kuzaliwa, mwenzio kama ni muelewa anapata jibu hapo:A S 8::A S 8::A S 8:
..Dah! ningebahatika kukutana na wa aina hii maisha yangekuwa matamu sana. maana hapo unapotandika kitanda na suti yako ya kuzaliwa mzee wa minyato nalenga ikulu sijui kama kitanda kitandikwa au ndio tutakivuruga zaidi....
 
Naskia wanafundishwa kitchen party kutomwanza mwanaume, ila wanatakiwa kujikatalisha kwanza af wanapotoa, kitu full.


sasa hizo kichen party ndio zinazo wapoteza sio kila wakati mens wanatakiwa kuwa responsible on starter inatakiwa hizo kitchen party zao ziwe mabadiliko ya mafunzo coz now a days all mens they askng thy'reself why womens hawalianzishi? so kumbe akipata mahali ambako game linanzishwa na women! anaacha ndoa sasa ndio tunarudi kwenye zoezi zima la kutelekeza mke.
just maoni.
 
m'mke aibu babu wewe!
...mbona mizuka ikipanda mnakuwa ndio viranja wa zoezi?? au ndio aibu mnazitupa kisogoni mnakuna nazi na kuchuma matembele kwa bashasha na mbwembwe kibao??:becky::A S 8:
 
Bwana ehh....
Mi huwa kinanichekesha , leo anakiri kuwa unamkuna ile mbaya, mkiachana anaponda eti ulikuwa humfikishi kileleni.
kweli dogo umebalehe.
Haya ile ishu yetu ya majimama ipoje?
 
week mbili ni nyingi sana mm wangu nilimwacha 3days only siku iliyofuata mbona alilianzisha mwenyewe tana kwa mbinu mpya kabisa so kumbe huwa mnataka mpaka mzidiwe kabisa! ila its gud coz hata mm ile gem niliipenda so friends jaribuni muone its gud although ku do kila siku ni kuchoshana.
 
...mbona mizuka ikipanda mnakuwa ndio viranja wa zoezi?? au ndio aibu mnazitupa kisogoni mnakuna nazi na kuchuma matembele kwa bashasha na mbwembwe kibao??:becky::A S 8:

wamekusikia kaka, i salute you afande!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…