ni kweli mkuu, wengine tuko tofauti, hatuna aibu but not always au tunatumia mitego, eg najifanya kutandika kitanda nimeinama na niko na suti ya kuzaliwa, mwenzio kama ni muelewa anapata jibu hapo:A S 8::A S 8::A S 8:Mimi wa kwangu huwa hasubiri kuanzwa bali hunianza mara tu anapokuwa anajisikia na huniambia kwa uwazi kuwa nataka mambo fulani.
Yap, nimeinyaka hii style!ni kweli mkuu, wengine tuko tofauti, hatuna aibu but not always au tunatumia mitego, eg najifanya kutandika kitanda nimeinama na niko na suti ya kuzaliwa, mwenzio kama ni muelewa anapata jibu hapo:A S 8::A S 8::A S 8:
mmmh ukiona hivyo ujue mkuu unataka kupigwa mzinga hapo maana nyumba ndogo mtaji wao ni unyumbaMi mbona nyumba ndogo yangu inanisumbua sana tokea jana, eti "hny nina genye!"
..Dah! ningebahatika kukutana na wa aina hii maisha yangekuwa matamu sana. maana hapo unapotandika kitanda na suti yako ya kuzaliwa mzee wa minyato nalenga ikulu sijui kama kitanda kitandikwa au ndio tutakivuruga zaidi....ni kweli mkuu, wengine tuko tofauti, hatuna aibu but not always au tunatumia mitego, eg najifanya kutandika kitanda nimeinama na niko na suti ya kuzaliwa, mwenzio kama ni muelewa anapata jibu hapo:A S 8::A S 8::A S 8:
Naskia wanafundishwa kitchen party kutomwanza mwanaume, ila wanatakiwa kujikatalisha kwanza af wanapotoa, kitu full.
kweli dogo umebalehe.Bwana ehh....
Mi huwa kinanichekesha , leo anakiri kuwa unamkuna ile mbaya, mkiachana anaponda eti ulikuwa humfikishi kileleni.
...mbona mizuka ikipanda mnakuwa ndio viranja wa zoezi?? au ndio aibu mnazitupa kisogoni mnakuna nazi na kuchuma matembele kwa bashasha na mbwembwe kibao??:becky::A S 8: