Wala Marekani hawezi kupiga nchi kama TanzaniaKabla hata Hatujamaliza kutoa Tamko ,tutakuwa tayari tushatolewa kwenye uso wa Dunia
[emoji23][emoji23][emoji23]Wala Marekani hatajibu kitu Trump atapaliwa na mate kwa kucheka[emoji23] [emoji23]
Ndo tumwamasishe mkulu sasa tutoe vyombo nje tayari kwa kuunga mkonoWala Marekani hawezi kupiga nchi kama Tanzania
We unadhani Trump ni kama Bashite? Trump kuipiga Tanzania ni kuharibu mabomu yake tu sasa kuna nini cha kumfanya ahisi kwamba Tanzania nayo ni tishio kwake[emoji23] [emoji23]
Tena mkuu Vyombo vya kimataifa vikija kutuhoji mtaaniNimecheka mpaka basi.
Kwani mwanao wa mwaka mmoja akikutishia kukupiga huwa unafanyaje?
Vyombo gani tulivyonavyo mkuu au unamaanisha vyombo vya kupikia[emoji23] [emoji23] [emoji23]Ndo tumwamasishe mkulu sasa tutoe vyombo nje tayari kwa kuunga mkono
kwani mpaka atupige kwa kombora mkuu?Wala Marekani hawezi kupiga nchi kama Tanzania
We unadhani Trump ni kama Bashite? Trump kuipiga Tanzania ni kuharibu mabomu yake tu sasa kuna nini cha kumfanya ahisi kwamba Tanzania nayo ni tishio kwake[emoji23] [emoji23]
kweli kabisa hahahahUliona syria ilivyokua na magofu ndani ya siku chache? Sasa imagine itachukua mda gani kuisambaratisha nchi kama Tanzania!
Ugomvi wao tuwaachie wao wenyewe... Ya bashite tu yanatushinda, ndo tutaweza bifu na Marekani!!??
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]kwani mpaka atupige kwa kombora mkuu?
Anaweza tupiga hata kiuchumi ili kutukomesha maana hapo utaomba bora hata angetushambulia kwa anga tungepata misaada toka jumuiya ya kimataifa
Kwa kumalizia sema sasa basi na sisi tujitoe ufahamu kumuunga mkono mkorea, kuifuta marekani kwenye uso wa duniakwani marekani ana nn kwani wababe wenzake hawaoni kwanza hata hiyo korea anatishia tu na kama ikitokea lazima kwa mara ya pili atatumia silaha kinyukuria zilizoougwa marufuku duniani kwani meli zake nyingi zitazamishwa na kutiwa hasara kubwa kama alivyofanya japan wakati wa vita kuu ya pili!