Hapa ndo pakutafutia maujiko dunia nzima, tutangaze kuiunga korea kazkn kumpiga naniliii,,,,

kaseva

JF-Expert Member
Joined
Mar 19, 2016
Posts
473
Reaction score
305
1. Eee bwaana, mkulu atangaze kuiunga korea kaskazini mkono
2. Tupige picha vifaru vyetu vikiwa barabarani tayari kwa vita, self na mikwara kibaaao vitolewe na mkulu
3. Vyombo vya habari vyote vitangaze tukio hili la tanzania kuiunga korea kasikazini mkono katika wakati huu mgumu.
4. Mkulu atoe matamko mbalimbali ya kuionya Marekani kwamba endapo wakijaribuuu, tutawaazibu na kutoa silaha zetu zote[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Kabla hata Hatujamaliza kutoa Tamko ,tutakuwa tayari tushatolewa kwenye uso wa Dunia
Wala Marekani hawezi kupiga nchi kama Tanzania
We unadhani Trump ni kama Bashite? Trump kuipiga Tanzania ni kuharibu mabomu yake tu sasa kuna nini cha kumfanya ahisi kwamba Tanzania nayo ni tishio kwake[emoji23] [emoji23]
 
Uliona syria ilivyokua na magofu ndani ya siku chache? Sasa imagine itachukua mda gani kuisambaratisha nchi kama Tanzania!
Ugomvi wao tuwaachie wao wenyewe... Ya bashite tu yanatushinda, ndo tutaweza bifu na Marekani!!??
 
Wala Marekani hawezi kupiga nchi kama Tanzania
We unadhani Trump ni kama Bashite? Trump kuipiga Tanzania ni kuharibu mabomu yake tu sasa kuna nini cha kumfanya ahisi kwamba Tanzania nayo ni tishio kwake[emoji23] [emoji23]
Ndo tumwamasishe mkulu sasa tutoe vyombo nje tayari kwa kuunga mkono
 
Nimecheka mpaka basi.
Kwani mwanao wa mwaka mmoja akikutishia kukupiga huwa unafanyaje?
Tena mkuu Vyombo vya kimataifa vikija kutuhoji mtaani
Tuwabeze wamarekani
Kwani wana nini,
"Sisi wananchi kwa pamoja tutaiunga mkono korea kuifuta marekani kwenye uso wa dunia " kwani kitu gani bwana
 
Wala Marekani hawezi kupiga nchi kama Tanzania
We unadhani Trump ni kama Bashite? Trump kuipiga Tanzania ni kuharibu mabomu yake tu sasa kuna nini cha kumfanya ahisi kwamba Tanzania nayo ni tishio kwake[emoji23] [emoji23]
kwani mpaka atupige kwa kombora mkuu?
Anaweza tupiga hata kiuchumi ili kutukomesha maana hapo utaomba bora hata angetushambulia kwa anga tungepata misaada toka jumuiya ya kimataifa
 
Uliona syria ilivyokua na magofu ndani ya siku chache? Sasa imagine itachukua mda gani kuisambaratisha nchi kama Tanzania!
Ugomvi wao tuwaachie wao wenyewe... Ya bashite tu yanatushinda, ndo tutaweza bifu na Marekani!!??
kweli kabisa hahahah
 
kwani mpaka atupige kwa kombora mkuu?
Anaweza tupiga hata kiuchumi ili kutukomesha maana hapo utaomba bora hata angetushambulia kwa anga tungepata misaada toka jumuiya ya kimataifa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Think tanks za Marekani zikae kujadili Tanzania kuwekewa vikwazo[emoji23] [emoji23]

Bila vikwazo hali yetu ndio hii sasa Marekani aweke vikwazo gani tena wakati tayari vikwazo vya asili tunavyo[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
kwani marekani ana nn kwani wababe wenzake hawaoni kwanza hata hiyo korea anatishia tu na kama ikitokea lazima kwa mara ya pili atatumia silaha kinyukuria zilizoougwa marufuku duniani kwani meli zake nyingi zitazamishwa na kutiwa hasara kubwa kama alivyofanya japan wakati wa vita kuu ya pili!
 
Kwa kumalizia sema sasa basi na sisi tujitoe ufahamu kumuunga mkono mkorea, kuifuta marekani kwenye uso wa dunia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…