Hapa ndo penyewe

Hapa ndo penyewe

kelvinzakar

Member
Joined
Apr 4, 2019
Posts
41
Reaction score
32
Wadau mi wakuja humu ndo nimeshuka ubungo wiki hii kutoka mkoa wa facebook ambao auna faida humu naona maisha mazuri mnipokee wadau
 
TUNAKUKARIBISHA MGENI KARIBU ILA KABLA HATUJAENDA MBALI SANA WANA JF WANGEPENDA KUTAMBUA HAYA KUTOKA KWAKO
TUNAOMBA USHIRIKIANO WAKO KATIKA KUJAZA FOMU HII HAPA CHINI ASANTE.

Majina yako matatu

Picha mbili moja full nyengine passport size

Unfanya kazi wap?

Je umeoa?au una mchumba

Je una watoto?

Kama unao ni wangap?

Unatokea mkoa gan?

Jaza hyo fomu Ya kwanza kisha nikupe karatasi Ya pili.
 
TUNAKUKARIBISHA MGENI KARIBU ILA KABLA HATUJAENDA MBALI SANA WANA JF WANGEPENDA KUTAMBUA HAYA KUTOKA KWAKO
TUNAOMBA USHIRIKIANO WAKO KATIKA KUJAZA FOMU HII HAPA CHINI ASANTE.

Majina yako matatu

Picha mbili moja full nyengine passport size

Unfanya kazi wap?

Je umeoa?au una mchumba

Je una watoto?

Kama unao ni wangap?

Unatokea mkoa gan?

Jaza hyo fomu Ya kwanza kisha nikupe karatasi Ya pili.
Kwiikwiiikwiiii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom