Hapa Ney Wamitego {true boy umesema}

Rapper wa dar anajiita jembe akija chuga tunamchoke mpini /au amekua makaveli the don,:A S embarassed:
 
Ney jembe safi sana kamchana hadi mwenyekiti wa uchumi duniani(by wana ngangari)
 
Hana lolote huyo Ney,anatafuta umaarufu tu kupitia majina ya wenzie..kuna nyimbo kamponda mama yake utadhan hakuzaliwa,unaweza kujiuliza huyu jamaa aliota kwenye mti wa mpera nini... So huyo Ney tupa kuleeee! Personally,namuona nyau tu.
 
msikonde wana ntaemdelea kuwapa vyao hawa wa d. cameroon
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…