Muuza Sura
JF-Expert Member
- Aug 1, 2011
- 1,985
- 1,352
mchane mbana pua hapo juu.. Wamezidi kujipodoa..
Hana lolote huyo Ney,anatafuta umaarufu tu kupitia majina ya wenzie..kuna nyimbo kamponda mama yake utadhan hakuzaliwa,unaweza kujiuliza huyu jamaa aliota kwenye mti wa mpera nini... So huyo Ney tupa kuleeee! Personally,namuona nyau tu.
bonge la track. Wachane wasikutishe.
ndo wewe ulisema hulast na relationship za ngozi nyeusi eeee sahivi una wazungu wangapi we bere kabisa
Hana lolote huyo Ney,anatafuta umaarufu tu kupitia majina ya wenzie..kuna nyimbo kamponda mama yake utadhan hakuzaliwa,unaweza kujiuliza huyu jamaa aliota kwenye mti wa mpera nini... So huyo Ney tupa kuleeee! Personally,namuona nyau tu.