Hapa Ney Wamitego {true boy umesema}

mchane mbana pua hapo juu.. Wamezidi kujipodoa..

Umeona enh!awachane wabana pua wamezidi kujipodoa!ahhahahhaha!mimi mwenyewe nawamind wabana pua ebu check diamond eti kesho anapiga show katika BBA eviction show,tangazo la voda kalipwa 50m,huyo PHD naye kajitangaza yeye basha na leo yuko zenji katika deal la pesa movie wakati gangstar ney mitego yuko ghetto ramani haisomi!
 
Hana lolote huyo Ney,anatafuta umaarufu tu kupitia majina ya wenzie..kuna nyimbo kamponda mama yake utadhan hakuzaliwa,unaweza kujiuliza huyu jamaa aliota kwenye mti wa mpera nini... So huyo Ney tupa kuleeee! Personally,namuona nyau tu.

eti mulize babako kampendea nini mamako
 
ata truck yake hile ya kuhusu wanawake imetulia.
 
ndo wewe ulisema hulast na relationship za ngozi nyeusi eeee sahivi una wazungu wangapi we bere kabisa

itakuwa ulijichanganya! Kuwa mkini wakati mwingine unapoquote.
 
Hana lolote huyo Ney,anatafuta umaarufu tu kupitia majina ya wenzie..kuna nyimbo kamponda mama yake utadhan hakuzaliwa,unaweza kujiuliza huyu jamaa aliota kwenye mti wa mpera nini... So huyo Ney tupa kuleeee! Personally,namuona nyau tu.

Mtu yoyote ambaye anaweza kumponda mama yake hana Moral!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…