Hapa ni kuisumbua Serikali na kuitafutia lawama tu. Waacheni watu wa enjoy

Hapa ni kuisumbua Serikali na kuitafutia lawama tu. Waacheni watu wa enjoy

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Mtu anaanzisha uzi kulalamika akitaka Serikali iliangalie hili suala. Iingilie kati n.k suala ambalo ni la mtu binafsi. Mtu analalamika kuwa kuna wanawake wanacheza huku wanaingiza chupa kwenye uchi zao. Serikali iingilie kati.

1. Huo uchi ni wa nani?
2. Hizo chupa wanazoingiza ni za nani?

Yaani mnafikia hatua mnataka wapangia watu matumizi ya vitu vyao? Juzi nimepita sehemu nimemwona mtu anakunywa petrol sijui kerosene halafu anapuliza moto unakuwa kama unatokea mdomoni.

Sijaona mtu analalamika kuwa Serikali iingilie kati suala hili. Lakini wadada wa watu wakiamua kuingiza chupa sehemu zao za wazi inakuwa nongwa. Waacheni wa enjoy. Msiisumbue serikali. Hizo sehemu ni zao na chupa ni zao. Hakuna anayepoteza kitu hapo kusema labda chupa yake iliingizwa ikapotelea huko so anapata hasara kila wakati.
 
Mtu anaanzisha uzi kulalamika akitaka Serikali iliangalie hili suala. Iingilie kati n.k suala ambalo ni la mtu binafsi. Mtu analalamika kuwa kuna wanawake wanacheza huku wanaingiza chupa kwenye uchi zao. Serikali iingilie kati.

1. Huo uchi ni wa nani?
2. Hizo chupa wanazoingiza ni za nani?

Yaani mnafikia hatua mnataka wapangia watu matumizi ya vitu vyao? Juzi nimepita sehemu nimemwona mtu anakunywa petrol sijui kerosene halafu anapuliza moto unakuwa kama unatokea mdomoni.

Sijaona mtu analalamika kuwa Serikali iingilie kati suala hili. Lakini wadada wa watu wakiamua kuingiza chupa sehemu zao za wazi inakuwa nongwa. Waacheni wa enjoy. Msiisumbue serikali. Hizo sehemu ni zao na chupa ni zao. Hakuna anayepoteza kitu hapo kusema labda chupa yake iliingizwa ikapotelea huko so anapata hasara kila wakati.
Kuna uzi unaitwa Lubumbash jehanam ya Dar umeanzishwa last week.

Naona umeanzisha uzi kumjibu
 
Ushoga mtupu unazungumzwa hapa kimafumbo!
Umetekwa sana na ushoga.... Yaani kila kitu unajiona wewe tu. Mimi watu wa aina yako sitaki hata kuwazungumzia ni kichefu chefu. Tena usicomment hata kwenye uzi wangu. Huwa na wa ignore tu sitaki hata kuona nyuzi zenu. Wapuuzi sana nyie watu.... Mashetani wakubwa.
 
Umetekwa sana na ushoga.... Yaani kila kitu unajiona wewe tu. Mimi watu wa aina yako sitaki hata kuwazungumzia ni kichefu chefu. Tena usicomment hata kwenye uzi wangu. Huwa na wa ignore tu sitaki hata kuona nyuzi zenu. Wapuuzi sana nyie watu.... Mashetani wakubwa.
unanitolea povu bure, mi si mfuasi wa itikadi za ushoga. Tatizo lako unataka kulazimishia watu mawazo ambayo hawana, naona umelewa tilatila kwa nyuzi zinazohusu ushoga kiasi cha kutotaka kuziona.
 
Unaleta uzi halafu hutaki tukomenti usivyotaka, huoni kuwa hii hoja yako ina ufanano na hao wengine wanaotaka uhuru wa kuingiliwa/kuingiziwa vitu wanavyovitaka miilini mwao kwa mtazamo unaouwasilisha? Halafu unaanza kutokwa povu hutaki tukomenti nyuzi zako kwa kufikiri kila aliye kinyume na hoja zako ni shoga. Hoja za ushoga zimewaharibu akili kiasi cha kufikiri kila mtu ni shoga. Mnatukosea adabu sana
 
Back
Top Bottom