kurasa ndo nini? na kipele ndo nini?Hivi inakuwaje nikijaribu kupekua kurasa nashikwa mkono na kuelekezwa kwenye kipele, najaribu kusugua kipele mara natolewa mkono tena naelekezwa kwenye kurasa sasa mimi nashindwa kuelewa ni wapi hasa mwenzangu anapendelea?
Akina dada/mama naomba msaada kwa hili.
Hizi Lugha zingine hapa JF wengine tunatoka kapa kabisa, jamani ongeeni kwa herufi ndogo kha!.Hivi inakuwaje nikijaribu kupekua kurasa nashikwa mkono na kuelekezwa kwenye kipele, najaribu kusugua kipele mara natolewa mkono tena naelekezwa kwenye kurasa sasa mimi nashindwa kuelewa ni wapi hasa mwenzangu anapendelea?
Akina dada/mama naomba msaada kwa hili.
Huh!..mambo makubwa hayo mdogo wangu!...we yaone hivyohivyo!kurasa ndo nini? na kipele ndo nini?
Kwa hiyo FL1 unamwelewa huyo ndugu, tusaidie wengine basi!.Mbona wapata tabu Magezi muulize mhusika akupe ramani inasomeka vip!!
kurasa ndo nini? na kipele ndo nini?
Maelezo yanajitosheleza kabisa.Kurasa ni 'page', kama za kitabu vile.
Kipele ni kijiuvimbe kidogo kinachotokea mwilini, wakati mwingine huwasha.
Labda kama hutaki kuelewa!
π
Hivi inakuwaje nikijaribu kupekua kurasa nashikwa mkono na kuelekezwa kwenye kipele, najaribu kusugua kipele mara natolewa mkono tena naelekezwa kwenye kurasa sasa mimi nashindwa kuelewa ni wapi hasa mwenzangu anapendelea?
Akina dada/mama naomba msaada kwa hili.
ha ha ha ha yaani unamaanisha sekunde moja kipele sekunde nyingine kurasa au kama mpiga drums vile!! weekend imeeenza vema!!Lol!Hebu changanya kipele na kurasa uone. Bila shaka atashikilia hapo hapo.
Bado sijaelewa Broda pls..Kurasa ni 'page', kama za kitabu vile.
Kipele ni kijiuvimbe kidogo kinachotokea mwilini, wakati mwingine huwasha.
Labda kama hutaki kuelewa!
π
kurasa ndo nini? na kipele ndo nini?
Hizi Lugha zingine hapa JF wengine tunatoka kapa kabisa, jamani ongeeni kwa herufi ndogo kha!.
Under age au Luga gongana?Bado sijaelewa Broda pls..
..Lugha gongana kabisa bana!!!Bado sijaelewa Broda pls..
Bado sijaelewa Broda pls..
ha ha ha ha yaani unamaanisha sekunde moja kipele sekunde nyingine kurasa au kama mpiga drums vile!! weekend imeeenza vema!!Lol!
Kanunue kamusi ya kiswahili....TUKI, BAKITA can help you on this!π