Hivi inakuwaje nikijaribu kupekua kurasa nashikwa mkono na kuelekezwa kwenye kipele, najaribu kusugua kipele mara natolewa mkono tena naelekezwa kwenye kurasa sasa mimi nashindwa kuelewa ni wapi hasa mwenzangu anapendelea?
Akina dada/mama naomba msaada kwa hili.
Promised to get back on 5th april, remember?aaaaah Roy Roy sema usikike bana!!!
vipi Bakuli na mwiko vinaoshwaje siku hizi?? (aaah bado kwaresma....samahani kama utakuwa umekwazika)
aaaaah Roy Roy sema usikike bana!!!
vipi Bakuli na mwiko vinaoshwaje siku hizi?? (aaah bado kwaresma....samahani kama utakuwa umekwazika)
Promised to get back on 5th april, remember?
Kiukweli umenikwaza sana, ukizingatia leo ni ijumaa.....
Jamani hizi semi nyingine???????????Mwiko hapa umepatia sana. Leo nitaanza vizuri weekend yangu
I forgot man!!!!....samahani kama nimekukwaza roy!!
Umenikwaza yes, but am not regreting though....its friday, isn't?
nisamehe basi si ushasema ni ijumaa!!!
bht just hold ur peace, nothing to 4give.😉!
btw: what do you do on Fridays?