Naangalia hapa kitu hawa Kevin Owen na Sami Zayn walichomfanya Meneja wao Shane McMahon huu ni zaidi ya uuaji yaani,
Hivi unaazaje kusema haya ni maigizo wakati wanambana na steel chair kwenye shingo na kumbamiza kwenye nguzo??
Yaani maigizo kwamba nguzo ni ya sponge au kiti cha mpira sio steel?
Na wakamburuta mpaka koridoni wakambamiza tena kwenye ngazi, dah