hapa sio nyumbani kwetu_.happy saturday to you

hapa sio nyumbani kwetu_.happy saturday to you

queenkami

JF-Expert Member
Joined
Feb 8, 2010
Posts
1,694
Reaction score
1,249
binadamu tunajisahau sana kwamba hapa duniani tunapita na kwamba ipo sehemu nyingine tunaelekea.
mfano unakuta mtu yuko ktk vita inayoweza hata kumwaga damu na jirani yake kisa nusu hatua ya mpaka wa kiwanja.
au baba umeshindwa kumsamehe mwanao kwa miaka kisa alishindwa kumaliza shule kwa kupata mimba.
maisha yetu ni mafupi sana hivyo haijalishi u mtu wa dini gani lkn tusiichafue mioyo yetu kwa kuijaza chuki na dhambi kwa mambo ya kidunia yapitayo.
,,,
,,nimejisikia kuwapa kaujumbe haka kama njia ya kuwatakia jmos na mapuziko mema.
:bowl::bowl::bowl::bowl::bowl::bowl::bowl::bowl::b owl::bowl::bowl::bowl::bowl::bowl::bowl::bowl::bow l::bowl::bowl::bowl::bowl::bowl::bowl::bowl::bowl: :bowl::bowl::bowl::bowl::bowl::bowl::bowl::bowl::b owl::bowl::bowl::bowl::bowl::bowl:


 
Last edited by a moderator:
thanks natamani ingekuwa hivo ubarikiwe
 
binadamu tunajisahau sana kwamba hapa duniani tunapita na kwamba ipo sehemu nyingine tunaelekea.
mfano unakuta mtu yuko ktk vita inayoweza hata kumwaga damu na jirani yake kisa nusu hatua ya mpaka wa kiwanja.
au baba umeshindwa kumsamehe mwanao kwa miaka kisa alishindwa kumaliza shule kwa kupata mimba.
maisha yetu ni mafupi sana hivyo haijalishi u mtu wa dini gani lkn tusiichafue mioyo yetu kwa kuijaza chuki na dhambi kwa mambo ya kidunia yapitayo.
,,,
,,nimejisikia kuwapa kaujumbe haka kama njia ya kuwatakia jmos na mapuziko mema.
:bowl::bowl::bowl::bowl::bowl::bowl::bowl::bowl::b owl::bowl::bowl::bowl::bowl::bowl::bowl::bowl::bow l::bowl::bowl::bowl::bowl::bowl::bowl::bowl::bowl: :bowl::bowl::bowl::bowl::bowl::bowl::bowl::bowl::b owl::bowl::bowl::bowl::bowl::bowl:




Asante sana Mpendwa, nakukaribisha tukapate KITIMOTO leo jumamosi ni kizuri sana, ila usisahau Ibada kesho, pale makuburi-mabibo wamesema watakua sijui na wana-kwaya gani huko, karibu pia, ntakua nikisoma matangazo hapo.
 
Last edited by a moderator:
binadamu tunajisahau sana kwamba hapa duniani tunapita na kwamba ipo sehemu nyingine tunaelekea.
mfano unakuta mtu yuko ktk vita inayoweza hata kumwaga damu na jirani yake kisa nusu hatua ya mpaka wa kiwanja.
au baba umeshindwa kumsamehe mwanao kwa miaka kisa alishindwa kumaliza shule kwa kupata mimba.
maisha yetu ni mafupi sana hivyo haijalishi u mtu wa dini gani lkn tusiichafue mioyo yetu kwa kuijaza chuki na dhambi kwa mambo ya kidunia yapitayo.
,,,
,,nimejisikia kuwapa kaujumbe haka kama njia ya kuwatakia jmos na mapuziko mema.
:bowl::bowl::bowl::bowl::bowl::bowl::bowl::bowl::b owl::bowl::bowl::bowl::bowl::bowl::bowl::bowl::bow l::bowl::bowl::bowl::bowl::bowl::bowl::bowl::bowl: :bowl::bowl::bowl::bowl::bowl::bowl::bowl::bowl::b owl::bowl::bowl::bowl::bowl::bowl:



thanx queen...atleast i thought you look as innocent as in your avatar.... avatar yako inaburudisha kama mtt janet alipokuwa teenager..
 
Last edited by a moderator:
Asante sana Queen,uwe na week end ya baraka.Uikumbuke siku ya BWANA na kuitakasa.
 
Asante sana Mpendwa, nakukaribisha tukapate KITIMOTO leo jumamosi ni kizuri sana, ila usisahau Ibada kesho, pale makuburi-mabibo wamesema watakua sijui na wana-kwaya gani huko, karibu pia, ntakua nikisoma matangazo hapo.


asante kwa ukaribisho.
 
I lo u 'queenkami':A S-rose:
Mkuu naona na ka ua waridi (Rose kwa msofahamu) ushatanguliza huko! U r fast an't you? Mmmhhhhhh, ushaanza na kum-PM mkulu? Ndo mkwala au unafanya kweli?!

You never stop to amaze me mr Ngabu!
 
Thanks millions queenkami you have my day.True very true this world is not our home.. Amen. Ubarikiwe sana queen.
 
Aimeeeeeeeeeeeeeeeeen queen (hivi kwa nini siku hizi AMINA tumeichakachua kinigeria?)
 
binadamu tunajisahau sana kwamba hapa duniani tunapita na kwamba ipo sehemu nyingine tunaelekea.[/COLOR]
mfano unakuta mtu yuko ktk vita inayoweza hata kumwaga damu na jirani yake kisa nusu hatua ya mpaka wa kiwanja.
au baba umeshindwa kumsamehe mwanao kwa miaka kisa alishindwa kumaliza shule kwa kupata mimba.
maisha yetu ni mafupi sana hivyo haijalishi u mtu wa dini gani lkn tusiichafue mioyo yetu kwa kuijaza chuki na dhambi kwa mambo ya kidunia yapitayo.
,,,
,,nimejisikia kuwapa kaujumbe haka kama njia ya kuwatakia jmos na mapuziko mema.
:bowl::bowl::bowl::bowl::bowl::bowl::bowl::bowl::b owl::bowl::bowl::bowl::bowl::bowl::bowl::bowl::bow l::bowl::bowl::bowl::bowl::bowl::bowl::bowl::bowl: :bowl::bowl::bowl::bowl::bowl::bowl::bowl::bowl::b owl::bowl::bowl::bowl::bowl::bowl:


sehemu gani hiyo?:mmph:
amen haleluya.
 
nimejisikia kuwapa kaujumbe haka kama njia ya kuwatakia jmos na mapuziko mema.



Mh kunakupumzika Bongo! Au mwenzetu upo kwa Obama. Any way is good for ending the week
 
sehemu gani hiyo?:mmph:
amen haleluya.[/QUOTE]



Philippians 3:20-21
For our citizenship is in heaven, from which also we eagerly wait for a Savior, the Lord Jesus Christ; who will transform the body of our humble state into conformity with the body of His glory, by the exertion of the power that He has even to subject all things to Himself.


2 Corinthians 5:8
Yes, we are fully confident, and we would rather be away from these earthly bodies, for then we will be at home with the Lord


nadhani nimekupa jibu zuri.

 
Back
Top Bottom