binadamu tunajisahau sana kwamba hapa duniani tunapita na kwamba ipo sehemu nyingine tunaelekea.
mfano unakuta mtu yuko ktk vita inayoweza hata kumwaga damu na jirani yake kisa nusu hatua ya mpaka wa kiwanja.
au baba umeshindwa kumsamehe mwanao kwa miaka kisa alishindwa kumaliza shule kwa kupata mimba.
maisha yetu ni mafupi sana hivyo haijalishi u mtu wa dini gani lkn tusiichafue mioyo yetu kwa kuijaza chuki na dhambi kwa mambo ya kidunia yapitayo.
,,,
,,nimejisikia kuwapa kaujumbe haka kama njia ya kuwatakia jmos na mapuziko mema.
:bowl::bowl::bowl::bowl::bowl::bowl::bowl::bowl::b owl::bowl::bowl::bowl::bowl::bowl::bowl::bowl::bow l::bowl::bowl::bowl::bowl::bowl::bowl::bowl::bowl: :bowl::bowl::bowl::bowl::bowl::bowl::bowl::bowl::b owl::bowl::bowl::bowl::bowl::bowl:
mfano unakuta mtu yuko ktk vita inayoweza hata kumwaga damu na jirani yake kisa nusu hatua ya mpaka wa kiwanja.
au baba umeshindwa kumsamehe mwanao kwa miaka kisa alishindwa kumaliza shule kwa kupata mimba.
maisha yetu ni mafupi sana hivyo haijalishi u mtu wa dini gani lkn tusiichafue mioyo yetu kwa kuijaza chuki na dhambi kwa mambo ya kidunia yapitayo.
,,,
,,nimejisikia kuwapa kaujumbe haka kama njia ya kuwatakia jmos na mapuziko mema.
:bowl::bowl::bowl::bowl::bowl::bowl::bowl::bowl::b owl::bowl::bowl::bowl::bowl::bowl::bowl::bowl::bow l::bowl::bowl::bowl::bowl::bowl::bowl::bowl::bowl: :bowl::bowl::bowl::bowl::bowl::bowl::bowl::bowl::b owl::bowl::bowl::bowl::bowl::bowl:
Last edited by a moderator: