Chuo kizuri TZ kwa sasa ni UDOM huna haja ya kupoteza muda wa kujadili, Tafuta kitabu cha TCU kisha utaona kozi zote zinazohusisha GO, But your too general buy saying geo maana kozi zinazokusisha GEO ni nyingi sana.kwa ushauri wangu ningependa sana usome BED-SPED,major GO