Hapa Tanzania hii pochi ya kike inaenda kwa bei gani rejareja

Hapa Tanzania hii pochi ya kike inaenda kwa bei gani rejareja

Loading failed

JF-Expert Member
Joined
Sep 14, 2023
Posts
2,603
Reaction score
7,501
Wakuu habari naomba kujuzwa garama ya hii pochi kwa bei ya rejareja hapa Tanzania inatoka kwa shilingi ngapi maana kuagiza nje mpaka hiyo sample ifike bei imewaka sana .View attachment 2832824
Screenshot_20231204-103326.jpg
 
Nauza mpakato iliyotumika. Bei maelewano. Nipigie 0673 553524 Niko Dar
 
Pochi ni hiyo hapo garama hizo huko juu mpaka ifike Tz ni dolar 62.28

Kwa huku inaendaje rejareja?
Screenshot_20231204-103416~2.jpg
 
HAPA kuna ecommerce ya bure. Ukizipata create account list izo pochi hapo achana na mambo ya kukodisha frame ya biashara
 
Kuna baadhi ya vitu bei huwa kubwa kulingana na usafiri atakao utumia supplier.Mfano mleta mada utaona shipping fee imechangia final price kuwa kubwa.

Either ukimcheki supplier mwambie una Fowarding agent China (Cargo za maji na ndege za kuja Tanzania) Then ongea na hizo cargo mzigo utumwe kwao wao ndio wasafirishe kuja Tz kwa maji au ndege.

Kama unahitaji mzigo mkubwa jaribu kucheki bei 1688 (ingawa iko kichina,ila hivi ni viwanda vya wachina,tofauti na Alibaba ambako wengi ni madalali) ila unasearch unachotaka kwa kutumia picha,Then ongea na watu wa cargo wakununulie then wewe uwalipe Tz.
Hiyo pochi manunuzi pamoja na usafiri ndani ya China kumfikia agent wako pamoja na usafiri kwa njia ya maji toka China kuja Tz inakufikia mkononi kwa jumla ya around 18,000 Tsh.

IMG_7755.JPG


(Tumia watu wa cargo zaidi,sababu hawa ni watu wenye mitaji,hawawezi kupotea na hela yako.Tofauti na hawa wengi walio instagram wanaokusanya hela za watu na kudai kununulia watu mizigo.Hawa wengi hawako registered Tz,China hawana office,utakuta hata ukimkamata na ukimshitaki hana hata hela ya kukulipa,maana kaila)
 
Mkuu Naomba uniagizie kwa hiyo bei mpaka inanifikia.
Kuna baadhi ya vitu bei huwa kubwa kulingana na usafiri atakao utumia supplier.Mfano mleta mada utaona shipping fee imechangia final price kuwa kubwa.

Either ukimcheki supplier mwambie una Fowarding agent China (Cargo za maji na ndege za kuja Tanzania) Then ongea na hizo cargo mzigo utumwe kwao wao ndio wasafirishe kuja Tz kwa maji au ndege.

Kama unahitaji mzigo mkubwa jaribu kucheki bei 1688 (ingawa iko kichina,ila hivi ni viwanda vya wachina,tofauti na Alibaba ambako wengi ni madalali) ila unasearch unachotaka kwa kutumia picha,Then ongea na watu wa cargo wakununulie then wewe uwalipe Tz.
Hiyo pochi manunuzi pamoja na usafiri ndani ya China kumfikia agent wako pamoja na usafiri kwa njia ya maji toka China kuja Tz inakufikia mkononi kwa jumla ya around 18,000 Tsh.

View attachment 2833421

(Tumia watu wa cargo zaidi,sababu hawa ni watu wenye mitaji,hawawezi kupotea na hela yako.Tofauti na hawa wengi walio instagram wanaokusanya hela za watu na kudai kununulia watu mizigo.Hawa wengi hawako registered Tz,China hawana office,utakuta hata ukimkamata na ukimshitaki hana hata hela ya kukulipa,maana kaila)
 
Mkuu Naomba uniagizie kwa hiyo bei mpaka inanifikia.

Lengo langu lilikuwa tu kuelimisha jinsi ya kupata bei rahisi za bidhaa kutoka China.
Tusibadili lengo la uzi.

Hapo juu nimekupa hints za kuepuka matapeli kuwa usifanye kazi na watu wa mitandaoni,ila fanya kazi na kampuni hasa za usafirishaji(zipo nyingi sana).Kwa kuwa jukwaani hapa kwenye hii mada sijawakilisha kampuni,nakushauri tafuta kampuni hizi kubwa za mizigo kutoka China (nyingi zinafahamika).

Ila ukihitaji msaada wangu wa mawazo nitakupa BURE hapa ama kama private unaweza nicheki PM.
 
Mkuu sijawahi kuagiza kitu kutoka huko, nakuja unipe muongozo.
Lengo langu lilikuwa tu kuelimisha jinsi ya kupata bei rahisi za bidhaa kutoka China.
Tusibadili lengo la uzi.

Hapo juu nimekupa hints za kuepuka matapeli kuwa usifanye kazi na watu wa mitandaoni,ila fanya kazi na kampuni hasa za usafirishaji(zipo nyingi sana).Kwa kuwa jukwaani hapa kwenye hii mada sijawakilisha kampuni,nakushauri tafuta kampuni hizi kubwa za mizigo kutoka China (nyingi zinafahamika).

Ila ukihitaji msaada wangu wa mawazo nitakupa BURE hapa ama kama private unaweza nicheki PM.
 
Back
Top Bottom