mwanafyale
JF-Expert Member
- Sep 27, 2010
- 1,641
- 538
Zaidi ya miaka 50Una umri gani?
Hivi umri wa kuishi kwa mtanzania si ni miaka 45 ? Sasa wewe unahangaikia nini wakati umeishakula 5 ya ziadaZaidi ya miaka 50
We kweli nyambafu. Ukifikisha hiyo ntakuona utakanyokuwa unaogopa hata kulala usije ukapitiliza ku rest in peaceHivi umri wa kuishi kwa mtanzania si ni miaka 45 ? Sasa wewe unahangaikia nini wakati umeishakula 5 ya ziada