Hapa vipi jamani

TZ boy

JF-Expert Member
Joined
Jan 11, 2012
Posts
629
Reaction score
183
Mtaani kuna ubishi kuhusu hii kozi ya GEOLOGY kwamba EGM hawezi kuisomea ni PCM tu embu funguka baadhi wanadai EGM anaweza wengine wanakata embu ni fumbue ni vigezo gani vinatumika hapo?,
karibu
 
EGM inakuwa wasiwasi kidogo,kama unabackground ya chemistry unaweza fanya ila kama hiyo kemia haipo itakula kwako!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…