HAPA WENGINE WOTE MKASOME,,

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kauzinduzi kananitokea puani


Uwii anko akija anaweza toa baraka fasta fasta,abaki tu hukoo alipo
Uzuri wa anko akija anatoa baraka tu hana hiyana na mtu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji126][emoji126] akhu nisijepelekwa kona ya bwiru
Sasa hutaki kupelekwa konani?[emoji23][emoji23][emoji23]
Tena kona ya bwiru[emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimekataliwa mwenzio tayar [emoji45][emoji31][emoji31][emoji31][emoji31]

Sent using Jamii Forums mobile app

Unaanza urafiki wa ndani, taratibu unaenda PM. Siku JF ikipigwa fataki ikakaaa haipatikani kwa masaa kadhaa, ikirudi unajieleza kwamba ulimmiss, hapo mnapeana namba ili ikitokea msipoteane.
 
Unaanza urafiki wa ndani, taratibu unaenda PM. Siku JF ikipigwa fataki ikakaaa haipatikani kwa masaa kadhaa, ikirudi unajieleza kwamba ulimmiss, hapo mnapeana namba ili ikitokea msipoteane.
Hahaaaa[emoji2960][emoji2960][emoji2958]
Daa ni kweli mkuu.

Ngoja nitafakal cha kufanya nisibak mtupu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…