Roger Sterling
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 13,012
- 23,633
mimi evelyn salt nime........
...type nusu sentensi?
mimi evelyn salt nime........
nime nn?
Teh unaota wewe, ntakubemenda bureeeee
Jeshi linaloweza kutumika vema au vibaya. Wanawake tushikamane hawa wanaume wasitusumbue na kututawala. Bado wamama wengi wananyanyaswa na wanaume... hii sio sawa
Ndio we ni rika la mjukuu wangu wa tatuHahahaaa
...kwani wew bibi😀
Ndio we ni rika la mjukuu wangu wa tatu
Kutawaliwa hutaweza kupinga hiyo ni amri ya Mungu lazima tuwatawale sema cha muhimu hapo tusiwanyanyase.
Khaa!! Mbona tunaambiwa kati ya siku 3 - 5 kwa mwezi huwa nusu vichaa kwasababu za kibiologia? Mbona tunaambiwa tuishi nao kwa akili? Mbona tunaambiwa mwalimu wao ni kipofu? Nauliza tu..
Note: Nina bibi, mama, shangazi, dada na shemeji..
Sijataja mtuUna maanisha mke wa Silaa sio?