HAPANA CHEZEA TZ

We pimbi kweli , ni hivi sawa wewe unanidai nimemechelewa kukulipa unanishtaki halafu bado wewe unaedai ndio ugharamie sasa c hasara juu ya hasara c bora ungekausha tu.
 
We pimbi kweli , ni hivi sawa wewe unanidai nimemechelewa kukulipa unanishtaki halafu bado wewe unaedai ndio ugharamie sasa c hasara juu ya hasara c bora ungekausha tu.
boss, get this, your planes are at the mercy of SA courts and individual citizens..
 
Kwanza wajarudisha kwa hiari tengua kauli yako wamezidiwa akili na maarifa na wa TZ , wa TZ kwa blabla tuko vizuri wao wamekama kwa maneno na sisi tunachukua kwa hayohayo maneno na gharama haituhusu watalipa wao ,wangekamata kwa mtutu na sisi tungejibu kwa mtutu wala tusingeenda mahakamani hiyo ndo TZ
 
Naibu Waziri Mambo ya Nje ya Tanzania, Dk Damas Ndumbaro amesema, Serikali ya Tanzania imeshinda kesi hiyo bila kutoa fedha yoyote ambayo aliyetushitaki alitaka Serikali ya Tanzania tuweke fedha dola milioni 33, kama dhamana.
Kwa upande wake, Msemaji Mkuu wa Serikali ya Tanzania, Dk Hassan Abbas ameandika katika ukurasa wake wa Twitter kwamba, β€œMahakama Kuu ya Gauteng, Afrika Kusini, leo imetoa hukumu na kuamuru kuwa ndege ya AirTanzania iliyokuwa ikishikiliwa nchini humo iachiwe na mlalamikaji alipe gharama za kesi. Tunawashukuru wote kwa uvumilivu wenu.
Taarifa za awali zinasema kwamba ndege hiyo hivi sasa ipo njiani kurejea Dar es Salaam.
 
Ngoja uone ndege itazuiliwa tena mawakili wamerudi kortini.Hapa hakuna cha "nguvu za Tanzania" haya yote ni ya mahakama huru za South Africa.
 
Oya huyu mkulima fala tusishangilie makaka Huyu Herman amekata rufaa mawakili wanarudi tena court kuisikiliza tena kesi asa sijui itakuaje.
 
Mahakama ilisema ndege ishikwe na ikashikwa,
Sasa wamesema ndege iwachiliwe,
ukali wa TZ upo wapi hapo???
We kwa akili yako unafikiri mahakama inaamka tu asubuhi na kuamuru "ndege ishikiliwe" "ndege iachiliwe"

Wakenya wa leo ni disaster aisee
 
We kwa akili yako unafikiri mahakama inaamka tu asubuhi na kuamuru "ndege ishikiliwe" "ndege iachiliwe"

Wakenya wa leo ni disaster aisee
Aisee nimesoma habari jioni hii ni kwamba yule mkulima ame appeal case asa itakuaje mazeh??
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Ndege imewachiliwa leo huku hatutolala Hadi Uzi ukaanzishwa na Mdanganyika ila ule wa kukumatwa ilibidi Wakenya wauanzishe.
 
We kwa akili yako unafikiri mahakama inaamka tu asubuhi na kuamuru "ndege ishikiliwe" "ndege iachiliwe"

Wakenya wa leo ni disaster aisee
wacha mchezo bana, kwanza ndege yenu kushikwa kwa sababu ya madeni ni aibu kubwa,
sasa mnapewa options zingine na court ya SA mnaanza kujigamba nyinyi wakali..

Kama mngekuwa wakali hata haingeshikwa,
 
Si mlianzisha nyuzi za kushangilia [emoji23][emoji23][emoji23] andaa maji ya baridi unywe tu leo maana umeumia sana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ndege imewachiliwa leo huku hatutolala Hadi Uzi ukaanzishwa na Mdanganyika ila ule wa kukumatwa ilibidi Wakenya wauanzishe.
 
Haya sasa ndege iko njiani sijui mtashangilia nini tena [emoji23][emoji23][emoji23]
wacha mchezo bana, kwanza ndege yenu kushikwa kwa sababu ya madeni ni aibu kubwa,
sasa mnapewa options zingine na court ya SA mnaanza kujigamba nyinyi wakali..

Kama mngekuwa wakali hata haingeshikwa,
 
Monkey ya kibera hii inanuka mafii
 
Hili kama zuzu sasa nguvu ya mahakama ingekuwa mahakimu wenu wangeweza kupindua meza kutoka ndege haiondoki bila 33 million $ mpaka agharamie yeye mshitaki
Ngoja uone ndege itazuiliwa tena mawakili wamerudi kortini.Hapa hakuna cha "nguvu za Tanzania" haya yote ni ya mahakama huru za South Africa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…