Utakua bado una kamba mguuni humu ndio maana humjui kidukulilo a.k.a. Bill LuganoKuna jamaa anajiita mpwayungu village aisee huyo jamaa ni muongo sijapata kuona kwa kweli. Yaani yeye kila kitu anajua
Uzi tayari
Uongo wa Bill Lugano ni tofauti sana na wa huyu kifurambuteUtakua bado una kamba mguuni humu ndio maana humjui kidukulilo a.k.a. Bill Lugano
Uzi unaitwa "WATU WALIOZIDI UONGO HUMU JF"utafute utapataMkuu huo uzi naupata vipi aisee
mpwayungu village njoo huku kuna mtu kaingilia uwezo wako tukufu wa kutunga visasili[emoji23][emoji23]
Mleta uzi ni mpwayungu mwenyewwmpwayungu village njoo huku kuna mtu kaingilia uwezo wako tukufu wa kutunga visasili[emoji23][emoji23]
Kama unaouita uongo haukudhuru mpotezee.Atakuwa anajidanganya mwenyewe ili ku-buy buy wakati.Kuna jamaa anajiita mpwayungu village aisee huyo jamaa ni muongo sijapata kuona kwa kweli. Yaani yeye kila kitu anajua.
Uzi tayari
Halafu utakuta kajamaa kamenenepa kana kitambi hivi kafupi kanaishi kwa mamake kanashinda sebureni kwao kanafuatilia tamthilia na kuangalia katuni kwenye tv halafu jioni kanaenda kijiweni kwa shoe shine kanakaa kuwapiga fix hapo halafu kanajifanya kako kwenye system[emoji1787]Huyu jamaa nahisi hana kazi kabisa anaishi kwao
[emoji2]
Hawezi kuwa mrefu, hizi nyuzi anazoweka anaonekana kabisa atakuwa wa kwanza kugombania urithi. .Halafu utakuta kajamaa kamenenepa kana kitambi hivi kafupi kanaishi kwa mamake kanashinda sebureni kwao kanafuatilia tamthilia na kuangalia katuni kwenye tv[emoji1787]
Visasili vyakeAna utukufu gani huyo jamaa?
Nimestuka pia [emoji120][emoji120]Mleta uzi ni mpwayungu mwenyeww
[emoji23][emoji23][emoji23]Mleta uzi ni mpwayungu mwenyeww