Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
Achana nalo tahila hilimpwayungu village Njoo huku kuna mtu kaingilia uwezo wako tukufu wa kutunga visasili[emoji23][emoji23]
Sitaki hata kumuonaKusoma tu nyuzi za huyo jamaa,ni uduwanzi
Watu waliozidi uongo humu JFMkuu huo uzi naupata vipi aisee
Wapuuuz San na nyuz zao. Hazina mashikoHivi mpwayungu village na man biznes ni mtu na ndugu? Hawa jamaa wawili wanaandika nyuzi nyingi utadhani Wana bifu na servers za jf[emoji28][emoji28]