Hapana sikubali hebu vunja mbavu na wewe

Joined
Aug 24, 2016
Posts
13
Reaction score
20
hapa mtaani kwetu kuna grocery wanapiga sana kelele wakisha lewa nimepita nikaita kwa sauti Makondaaaaaaaaaa.. yaani hapa sahiv wengine tayar ni vilema

sipendagi ujinga wa kusikia matusi ya walevi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkuu kunichekesha inahitajika ujuzi kidogo... Yan kunifanya nichekee kifaa changu sio rahisi ivyo
 
Duuuh hicho ndio kichekesho chenyewe hiko ndio kitanifanya Mimi nicheke? Kwa hilo umenoa
 
Utakuwa huwajui walevi vizuri wewe

Wapo waliojitambulisha ni wakuu wa kituo mbele ya mkuu wa kituo mwenyeweeee.
 
Hahahahaha,dah nimecheka balaaaa
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ...si mtu wa sport sport wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…