Hapana. Tusijitoea Ufaham. Tupo wanayanga tunapinga huu upuuzi

Hapana. Tusijitoea Ufaham. Tupo wanayanga tunapinga huu upuuzi

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Mkuu wa Mkoa kuhusika hujuma kwa Watani wetu ni kuonesha woga sana na kukosa Ilimu au Weledi. Huyu Mkuu wa Mkoa si ndo alikuwa na kashfa za kutaka funika kesi ya Ulawiti? Sasa anataka kutuharibia image yetu ya Yanga kuonekana tunahusika na figisu za kiduanzi ili mikia wapoteze points?

Huu ni upuuzi na wanayanga tusiingie kwenye mkenge kumshabikia au mtetea huyu kilaza. Hatujui siku nasi tukaenda mkoa ambao una. Mkuu wa Mkoa kilaza mwanasimba naye akashiriki kutuhujumu namna hii. Tutasema nini?

Huu ni upuuzi ukemewe tusirudi ile miaka yule zeru zeru alikuwa anatuchonganisha Simba na Yanga kwa faida yake. Sasa wanasimba na wanayanga hatuna tena uadui ni utani tu. Huyu mteule wa rahis analeta upuuzi na utoto kama huu. Si sawa.

Wapenzi wa mpira tuukatae. Ubaya unatabia ya kuzunguka kama dunia na jua. Leo kwa mwenzio usiku kwako mchana usimcheke. Kesho naye kwake kutakuwa mchana kwako usiku. Tusileee wapuuzi kama hawa.

Mpira uchezwe uwanjani fair and square. Hujuma hizi za kipuuzi hazitusaidii kukuza mpira zinatudumaza tu.
 
Mkuu wa mkoa ndiye aliye waamuru polisi wawa achie Matola na Rweyemam (meneja) baada ya kushikiliwa na polisi kwenda kituoni kwa mahojiano.

Shida imeletwa na Vijana wetu Makomando kwa kwenda kuwafungia maafisa wa Uwanja vyumbani ili wasiweze kuona yal
e mambo yetu ya aibu ambayo tunayafanya kiwanjani siku Moja kabla ya mchezo.

Kulikua hakuna haja ya makomandoo wetu kuvunja mlango na Madirisha ya Ofisi ya meneja wa Uwanja kwakua kama timu tulikua na nafasi ya kuwa rekodi ao ambao tunahisi ni viongozi wa Pamba na kuwapa ushahidi wa video izo bodi ya Ligi.

Bahati mbaya walio fanyiwa vurugu hawakua viongozi wa Pamba ni staff wa almashauri ya JiJi wanao husika na uwanja.

Tumejizoesha vibaya kufanya ushirikina unao pelekea kupigwa fain na CAF na bodi ya Ligi kwa miaka kumi mfululizo.

Kuna ushahidi mwingi wa video na picha mnato zinazo onyesha vitendo vyetu vya kishirikina ambavyo mafaili ya kuhifadhi ushahidi wa matendo yetu ya hovyo yamejaa pale bodi ya ligi na Kamati ya mashindano ya CAF.
 
Haya sasa ndiyo matumizi mabaya ya utoaji wa maoni humu jukwaani.
 
MPIRA WETU UMEJAA NA USHIRIKINA MWINGI MNO.

NAMUOMBS MUNGU ANISAIDIE NINUSULIKE NA UJUHA WA SIMBA NS YANGA.
 
Mkuu wa mkoa ndiye aliye waamuru polisi wawa achie Matola na Rweyemam (meneja) baada ya kushikiliwa na polisi kwenda kituoni kwa mahojiano.

Shida imeletwa na Vijana wetu Makomando kwa kwenda kuwafungia maafisa wa Uwanja vyumbani ili wasiweze kuona yalView attachment 3158415e mambo yetu ya aibu ambayo tunayafanya kiwanjani siku Moja kabla ya mchezo.

Kulikua hakuna haja ya makomandoo wetu kuvunja mlango na Madirisha ya Ofisi ya meneja wa Uwanja kwakua kama timu tulikua na nafasi ya kuwa rekodi ao ambao tunahisi ni viongozi wa Pamba na kuwapa ushahidi wa video izo bodi ya Ligi.

Bahati mbaya walio fanyiwa vurugu hawakua viongozi wa Pamba ni staff wa almashauri ya JiJi wanao husika na uwanja.

Tumejizoesha vibaya kufanya ushirikina unao pelekea kupigwa fain na CAF na bodi ya Ligi kwa miaka kumi mfululizo.

Kuna ushahidi mwingi wa video na picha mnato zinazo onyesha vitendo vyetu vya kishirikina ambavyo mafaili ya kuhifadhi ushahidi wa matendo yetu ya hovyo yamejaa pale bodi ya ligi na Kamati ya mashindano ya CAF.
View attachment 3158415
Toa ushamba wako ww mzee..maelezo mengi hayana hata uhalisia..
Wanga wakubwa nyie..
Sindano Fc
Wa kujidunga...
 
Mkuu wa Mkoa kuhusika hujuma kwa Watani wetu ni kuonesha woga sana na kukosa Ilimu au Weledi. Huyu Mkuu wa Mkoa si ndo alikuwa na kashfa za kutaka funika kesi ya Ulawiti? Sasa anataka kutuharibia image yetu ya Yanga kuonekana tunahusika na figisu za kiduanzi ili mikia wapoteze points?

Huu ni upuuzi na wanayanga tusiingie kwenye mkenge kumshabikia au mtetea huyu kilaza. Hatujui siku nasi tukaenda mkoa ambao una. Mkuu wa Mkoa kilaza mwanasimba naye akashiriki kutuhujumu namna hii. Tutasema nini?

Huu ni upuuzi ukemewe tusirudi ile miaka yule zeru zeru alikuwa anatuchonganisha Simba na Yanga kwa faida yake. Sasa wanasimba na wanayanga hatuna tena uadui ni utani tu. Huyu mteule wa rahis analeta upuuzi na utoto kama huu. Si sawa.

Wapenzi wa mpira tuukatae. Ubaya unatabia ya kuzunguka kama dunia na jua. Leo kwa mwenzio usiku kwako mchana usimcheke. Kesho naye kwake kutakuwa mchana kwako usiku. Tusileee wapuuzi kama hawa.

Mpira uchezwe uwanjani fair and square. Hujuma hizi za kipuuzi hazitusaidii kukuza mpira zinatudumaza tu.
Bora umejitenga na ujinga kwa hiyo sasa huko wenye akili mko watatu.
 
Mkuu wa mkoa ndiye aliye waamuru polisi wawa achie Matola na Rweyemam (meneja) baada ya kushikiliwa na polisi kwenda kituoni kwa mahojiano.

Shida imeletwa na Vijana wetu Makomando kwa kwenda kuwafungia maafisa wa Uwanja vyumbani ili wasiweze kuona yalView attachment 3158415e mambo yetu ya aibu ambayo tunayafanya kiwanjani siku Moja kabla ya mchezo.

Kulikua hakuna haja ya makomandoo wetu kuvunja mlango na Madirisha ya Ofisi ya meneja wa Uwanja kwakua kama timu tulikua na nafasi ya kuwa rekodi ao ambao tunahisi ni viongozi wa Pamba na kuwapa ushahidi wa video izo bodi ya Ligi.

Bahati mbaya walio fanyiwa vurugu hawakua viongozi wa Pamba ni staff wa almashauri ya JiJi wanao husika na uwanja.

Tumejizoesha vibaya kufanya ushirikina unao pelekea kupigwa fain na CAF na bodi ya Ligi kwa miaka kumi mfululizo.

Kuna ushahidi mwingi wa video na picha mnato zinazo onyesha vitendo vyetu vya kishirikina ambavyo mafaili ya kuhifadhi ushahidi wa matendo yetu ya hovyo yamejaa pale bodi ya ligi na Kamati ya mashindano ya CAF.
View attachment 3158415
Huna akili wewe wenye akili ni wawili tu.Mmoja katoa uzi huu
 
Back
Top Bottom