Hapo "Cutting Master Barbershop" kunyoa bei gani?

Hapo "Cutting Master Barbershop" kunyoa bei gani?

Mad Max

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2010
Posts
26,961
Reaction score
77,890
Nauliza tu.

Je, bei gani kunyoa style ya kawaida tu.

Na..

Naona mtandaoni wanatupia picha za warembo wamenyolewa je wananyoa na wanaume au?

Nakuja Dar karibuni, sehemu nilizopanga kutembelea moja wapo hapo.
 
🤣😅😂😆🤣😅😂😆🤣😅😂😆🤣😅😂😆🤣😆😃😀😃😀😁😀😂😅😂😅😃😅😃😀😁🤣😅☺☺hivi DAR ni mdudu gani??

Maana kuna vijiji ukijitambulisha nimetoka DAR unakula kijiji kizima mama na mtoto.

ELIMU VIJIJINI INAHITAJIKA.
 
Niliendaga kunyoa sikua najua bei bana. Nikachagua style nikanyolewa plus vikorombwezo kama wave nini mwisho wakaniambia nifanye na scrub.
Hapo ndo akili ikanijia nikawauliza sh ngap scrub nikaambiwa 7000 basi nikasema sihitaji hio.
Naenda kupewa bill elfu kumi na sita (16000/=) hee nikawaza ningefanya na scrub hapa ingekua elfu ishirini na tatu (23000/=)
Sijarudi tena mpaka leo
 
Nauliza tu.

Je, bei gani kunyoa style ya kawaida tu.

Na..

Naona mtandaoni wanatupia picha za warembo wamenyolewa je wananyoa na wanaume au?

Nakuja Dar karibuni, sehemu nilizopanga kutembelea moja wapo hapo.
Karibu dar kwanza
 
Niliendaga kunyoa sikua najua bei bana. Nikachagua style nikanyolewa plus vikorombwezo kama wave nini mwisho wakaniambia nifanye na scrub.
Hapo ndo akili ikanijia nikawauliza sh ngap scrub nikaambiwa 7000 basi nikasema sihitaji hio.
Naenda kupewa bill elfu kumi na sita (16000/=) hee nikawaza ningefanya na scrub hapa ingekua elfu ishirini na tatu (23000/=)
Sijarudi tena mpaka leo
Haaha na ukizubaa unaweza kubali kufanyiwa kila kitu,hasa sisi mwanaume unapagawa na sauti laini ya wadada wanaofanya vikolombwezo

Utaskia "kaka tukufanyie na scrub?" Apo unajikuta unaitikia tu,bili ikija ndo akili inarudi.
 
Haaha na ukizubaa unaweza kubali kufanyiwa kila kitu,hasa sisi mwanaume unapagawa na sauti laini ya wadada wanaofanya vikolombwezo

Utaskia "kaka tukufanyie na scrub?" Apo unajikuta unaitikia tu,bili ikija ndo akili inarudi.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mara nyingi sehemu za wenye majina hawakupi value for money.

Niliwahi nyoa sinza nikalipa 8000 tu. Nikaishia mkumbuka kinyozi wangu.
 
Mm naulizaga kwanza. Kunyoa ndogo ndogo au para sh ngapi. Bei ikianzia 4000 naondoka. Shida wengi unakaa kwenye kiti mnanyolewa bila kuuliza bei.
 
Haaha na ukizubaa unaweza kubali kufanyiwa kila kitu,hasa sisi mwanaume unapagawa na sauti laini ya wadada wanaofanya vikolombwezo

Utaskia "kaka tukufanyie na scrub?" Apo unajikuta unaitikia tu,bili ikija ndo akili inarudi.
Hahah ndio. Na pale wameweka wadada wakali wana shape hao makusudi.
 
Back
Top Bottom