Hapo hakuna namna inabidi utangaze tu

Ila huyu jamaa Ana maisha magumu Sana huu msimu, yaani furaha yake ni ya kuunga unga Sana
Sure.
Hela anapata lakini furaha sasa. Sasa kukosa tuzo ndio kuna mtesa anahangaika na vi post vyake.
Nawaza Simba ikifanikiwa kuingia group stage jamaa atatangaza match zote 6.
 
Acheni Hadji Afanye Kazi, Kule Utopolo Kaenda Basi Tu
 
Huu ni mpira, ni ushabiki, ni utani wa jadi.

Utajiumiza bure fala wewe.

Nb: Hakuna utopolo mwenye akili!
[emoji28][emoji28][emoji28]
Bora umwambie.. wamekosa tuzo mpaka wamepika sasa wanatafuta pa kutolea stress.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…