Hapo kwenye 'makalio' (bottom) ya huyo female music celeb ni nini hiyo imechomoza?

Hapo kwenye 'makalio' (bottom) ya huyo female music celeb ni nini hiyo imechomoza?

Mwanamayu

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2010
Posts
11,662
Reaction score
6,888
Muziki mzuri, ila sina uhakika kama hawa ni music celebs.
Ukiangalia kwa umakini kwenye muda kati 0.19 na 0.20 utaona kitu kirefu kidogo mithili ya slim cylinder/ cord kimetokeza kwenye bottom ya huyo female music celeb. Je, hiyo ni nini? Je, huko ni kuwa producer kakosa umakini?

 
Muziki mzuri, ila sina uhakika kama hawa ni music celebs.
Ukiangalia kwa umakini kwenye muda kati 0.19 na 0.20 utaona kitu kirefu kidogo mithili ya slim cylinder/ cord kimetokeza kwenye bottom ya huyo female music celeb. Je, hiyo ni nini? Je, huko ni kuwa producer kakosa umakini?

Umetumwa kuongezea views?
Binafsi huu wimbo haujanibariki ni wa kawaida sana..
 
Geez! They are humans.. What do you expect??

Y'all should understand being a celebrity does not change you from being a human.!
 
Nimerudiarudia mara nyingi lakini sijaona alichomeshen mtoa post, naanza kuamini baadhi ya komenti za watu kuwa mdau katumwa kuongeza viuz!!!!!
 
Sifungui ng'ooooooooo
Muziki mzuri, ila sina uhakika kama hawa ni music celebs.
Ukiangalia kwa umakini kwenye muda kati 0.19 na 0.20 utaona kitu kirefu kidogo mithili ya slim cylinder/ cord kimetokeza kwenye bottom ya huyo female music celeb. Je, hiyo ni nini? Je, huko ni kuwa producer kakosa umakini?

 
Back
Top Bottom