Hapo ulipo leo kama hujui na hujali historia, utakuwa unatoa hukumu ambazo siyo sahihi - unafanya dhambi

Hapo ulipo leo kama hujui na hujali historia, utakuwa unatoa hukumu ambazo siyo sahihi - unafanya dhambi

comte

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2011
Posts
9,019
Reaction score
6,825
Alikuwa karani na mtoza ushuru wakati wa Ukoloni. Akanunua Lori akawa anasafirisha vifaa vya ujenzi. TANU ilipoanzishwa John Rupia akawa muweka hazina wa kwanza. Alisema”TANU haikuwa na Pesa, hazina ilikuwa ni mifuko yetu”.Uzalendo ulimfanya atumie Pesa yake binafsi kwa ajili ya TANU.

1581487060786.png
 
alikua anatoza ushuru? sasa si ndio hizo hizo amabazo alikuja kuwasaidia tanu,? maana siku zote watoza ushuru wana hela ambazo wanalazimisha watu kutoa au kulipa kodi, haina tofauti na utozwaji kodi wa leo
 
Back
Top Bottom