Kuna kijana flani toka Bongo alikuwa anatuchangamsha na za Bongo na pia Malawi Gold back in High School wakati wa Entertainment....was very very gooooood.Haha.. kuna boy mmoja kutoka Eldo ali choma kwa mara ya kwanza tukiwa form 1 akachizika aka leta noma kwa dorm mpaka wado akamshtukia akawa expelled!! Usikute ni wewe collo [emoji3]
Many people associate weed with only being high but alot of research has been done on its benefits to people with chronic illness. Most of its pros are based on it lacking the side effects that are common with strong pharmaceuticals. Which are mostly also too expensive.Weed nlifanyiaga firm Fulani ya Washington research (online) wanaunda medicinal cannabis ...medicinal cannabis haiwezi kufanya ukue high juu TBH levels ni low na CBD levels ni high.... Medicinal cannabis pia hukua high breed ya sativa na indica ...nlilearn a lot from that research and conclusion nikua cannabis is beneficial if used correctly and not abused
Hehee.. msee umepiga mpaka za Malawi!! Kuna mjaluo mmoja yeye akisha pata vitu vyake lazima aende kwa toi aka kate gogo uku ana imba ngoma za TOK (Yeye alikua anaita Taste of Kenya) [emoji16]Kuna kijana flani toka Bongo alikuwa anatuchangamsha na za Bongo na pia Malawi Gold back in High School wakati wa Entertainment....was very very gooooood.
Sikuwahi kwenda ila ma boys wa mtaa walikua wana nipa mastory!! kuna siku tuliplan kuhepa uko ikatokea risto ingine. Before sija kutana na manyang'au nilikua najua hip pop na rnb tu
Hahaa.. nilikua piro wa dom ndyo nilikua naitisha role call nakupanga wasee kwenda kumangaUsiniambie shuleni hukuweza kupita Gate B uende 'dundaa'. Yaani wewe mfuata sheria ulipitwa na mengi sana. π
Oookey kwa hivyo ulikuwa mtiaji? Hahaha. π Sio bure.Hahaa.. nilikua piro wa dom ndyo nilikua naitisha role call nakupanga wasee kwenda kumanga
Happy 420, its just like another new new year! πHAPPY 420
Hahahaha... ile kitu ukikula mpaka utafute kwa kutolea nyege.Hehee.. msee umepiga mpaka za Malawi!! Kuna mjaluo mmoja yeye akisha pata vitu vyake lazima aende kwa toi aka kate gogo uku ana imba ngoma za TOK (Yeye alikua anaita Taste of Kenya) [emoji16]
Aiseee. πππHahahaha... ile kitu ukikula mpaka utafute kwa kutolea nyege.
miaka yangu yote hapa JF sikumbuki kubambika kaa ivi nikisoma ma comments za watu....
Hahaa.. nilikua piro wa dom ndyo nilikua naitisha role call nakupanga wasee kwenda kumanga
Kuna forum Fulani kama JF Ktalk hivi ya wana Ganja kwa jina la Grasscity, Stoner forum na roll it up forums...pale ukiingia unapata raha tele.